Ugonjwa huu tishio

Ugonjwa huu tishio

Monda kubwa

Senior Member
Joined
Jun 20, 2019
Posts
121
Reaction score
157
Wenzangu, ni miezi kadhaa tangu gonjwa hili la kishetan liingie nchi yetu pendwa ya Tanzania. Hatujawahi kuwa na lockdown wala curfew. Lakin Mungu sio Makombo, tumeendelea kuishi kwa kudra zake

Je, Tanzania mpaka hapa tulipofikia sisi kama Tanzania bado hatujadevelop "HERD IMMUNITY?" Wajuzi naomba watuchangie kidogo.
 
Back
Top Bottom