Ugeni mzito nchini...

Avatar Myg

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
675
Reaction score
118
Nimeiona hii sehemu.. Nkaona si vibaya nikiileta hapa...
 
Anaingia by saa ngapi? Huwa anakuja na zawadi eeh?
 
Huyo ni raisi wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, mbona hamuelewi vitu hvi jamani.
 
Huyo ni raisi wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, mbona hamuelewi vitu hvi jamani.
Umenifurahisha Mkuu! Hivi ndivyo alivyo, excatly ni Rais wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa.
Hivi yupo aliye na kumbukumbu JK amefanya safari ngapi za nje tangu awe rais, au angalau wastani wa safari zake kwa wiki, mwezi, mwaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…