Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #61
Last edited by a moderator:
uwa tu bana sasa unakaa na toto bwabwa la nini
Siungi mkono ushoga lakini this is really bad, iwapo watakua wamemuua simply because he is gay; lakini bado naweka tumaini kwamba ameuwawa kama binadamu mwingine kwani we are not safe these days, kuna wauaji na mauaji mengi sana east africa
Ushoga ulilaaniwa na mauaji pia yalilaaniwa... two wrongs wont make it right!