Uganda yatangaza kuzima Intaneti kuanzia leo Januari 13 ili kupisha Uchaguzi Mkuu

Uganda yatangaza kuzima Intaneti kuanzia leo Januari 13 ili kupisha Uchaguzi Mkuu

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Serikali ya Uganda, kupitia Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imetangaza kusimamisha kwa muda huduma za intaneti kwa umma na usajili wa laini mpya za simu nchini humo, ili kuzuia usambazawaji wa taarifa potofu, vitendo vinayoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa taifa.

1768369592221.jpeg

Kwa mujibu wa agizo hilo, waendeshaji wote wa mitandao ya simu na watoa huduma za intaneti wametakiwa kusitisha huduma hizo kuanzia Januari 13, 2026 saa 12 jioni hadi itakapotolewa taarifa nyingine ya kurejesha huduma.

Huduma zilizosimamishwa ni pamoja na upatikanaji wa intaneti kwa umma, uuzaji na usajili wa SIM kadi mpya pamoja na huduma za data roaming kwa nchi wanachama wa One Network Area.

Hata hivyo, huduma muhimu kama mifumo ya afya, benki, ATM, malipo ya kodi, mifumo ya serikali, umeme, maji, mafuta, usafiri na usalama wa mitandao zimeruhusiwa kuendelea kufanya kazi kupitia intaneti isiyo ya simu.

UCC imesisitiza kuwa matumizi ya mitandao ya kijamii, programu za ujumbe na VPN za simu yakipigwa marufuku kabisa.

photo_2026-01-13_16-34-37.jpg

Soource: Uganda Communications Commision
 

Attachments

Serikali ya Uganda, kupitia Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imetangaza kusimamisha kwa muda huduma za intaneti kwa umma na usajili wa laini mpya za simu nchini humo, ili kuzuia usambazawaji wa taarifa potofu, vitendo vinayoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa taifa

Kwa mujibu wa agizo hilo, waendeshaji wote wa mitandao ya simu na watoa huduma za intaneti wametakiwa kusitisha huduma hizo kuanzia Januari 13, 2026 saa 12 jioni hadi itakapotolewa taarifa nyingine ya kurejesha huduma.

Huduma zilizosimamishwa ni pamoja na upatikanaji wa intaneti kwa umma, uuzaji na usajili wa SIM kadi mpya pamoja na huduma za data roaming kwa nchi wanachama wa One Network Area.

Hata hivyo, huduma muhimu kama mifumo ya afya, benki, ATM, malipo ya kodi, mifumo ya serikali, umeme, maji, mafuta, usafiri na usalama wa mitandao zimeruhusiwa kuendelea kufanya kazi kupitia intaneti isiyo ya simu.

UCC imesisitiza kuwa matumizi ya mitandao ya kijamii, programu za ujumbe na VPN za simu yakipigwa marufuku kabisa.

View attachment 3529458

Soource: Uganda Communications Commision
Ujinga mtupu
 
Serikali ya Uganda, kupitia Tume ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imetangaza kusimamisha kwa muda huduma za intaneti kwa umma na usajili wa laini mpya za simu nchini humo, ili kuzuia usambazawaji wa taarifa potofu, vitendo vinayoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa taifa

Kwa mujibu wa agizo hilo, waendeshaji wote wa mitandao ya simu na watoa huduma za intaneti wametakiwa kusitisha huduma hizo kuanzia Januari 13, 2026 saa 12 jioni hadi itakapotolewa taarifa nyingine ya kurejesha huduma.

Huduma zilizosimamishwa ni pamoja na upatikanaji wa intaneti kwa umma, uuzaji na usajili wa SIM kadi mpya pamoja na huduma za data roaming kwa nchi wanachama wa One Network Area.

Hata hivyo, huduma muhimu kama mifumo ya afya, benki, ATM, malipo ya kodi, mifumo ya serikali, umeme, maji, mafuta, usafiri na usalama wa mitandao zimeruhusiwa kuendelea kufanya kazi kupitia intaneti isiyo ya simu.

UCC imesisitiza kuwa matumizi ya mitandao ya kijamii, programu za ujumbe na VPN za simu yakipigwa marufuku kabisa.

View attachment 3529458

Soource: Uganda Communications Commision
It is deeply concerning here. Pray for Uganda
 
Africa tunahitaji kuongozwa na kizazi kipya ambacho kinajua athari za kuzima mambo kama haya maana hapa unaenda kuathari chumi za watu!, ni kama vile tunaishi zana za mawe huku ikiwa mambo kama internet ni kama tuliipata kama nidondokee kumbe la hasha!, internet kwasasa ni maisha ya watu na isitoshe hiyohiyo serikali inategemea kodi kutoka huko!.. what a crazy idea is this..?!!
 
Wanaharakati Uchwara akina Maria Sarungi, Watajifanya kufungua kesi dhidi ya Kampuni za Simu kwa kuwakosesha huduma ya Internent wateja wake.

Wakijua fika ni Maelekezo kutoka Juu.

Huku ni kuchanganyikiwa kwa Harakati
 
Wanaharakati Uchwara akina Maria Sarungi, Watajifanya kufungua kesi dhidi ya Kampuni za Simu kwa kuwakosesha huduma ya Internent wateja wake.

Wakijua fika ni Maelekezo kutoka Juu.

Huku ni kuchanganyikiwa kwa Harakati
Kizazi hiki hakihitaji watu kama wewe, nyie mlitakiwa kuishi zama za ujima, zama za wajinga, zama za wasiojitambua.
 
Back
Top Bottom