Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Serikali ya Rais Museven imeweza angalau kumfikisha waziri mahakamani kwa wizi.
Kwa mbiringe zinazoendelea bungeni na nje ya bunge kwa ripoti ya CAG na kashifa za wizi wa mali za umma namuomba rais Samia afumbe macho sasa.
Namuomba asiwaangalie usoni hao wezi awafikishe mahakamani tu maana hatakuwa wa kwanza kufanya hivyo.
Asisubiri wananchi tuichoke hii serikali yake mapema.
Kwa mbiringe zinazoendelea bungeni na nje ya bunge kwa ripoti ya CAG na kashifa za wizi wa mali za umma namuomba rais Samia afumbe macho sasa.
Namuomba asiwaangalie usoni hao wezi awafikishe mahakamani tu maana hatakuwa wa kwanza kufanya hivyo.
Asisubiri wananchi tuichoke hii serikali yake mapema.