johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,128
Nakumbuka 1979 baada ya kumtwanga Sawa Sawa Nduli Idd Amin hadi akakimbilia Arabuni Tanzania akawa Ndio mfadhili wa Uganda japo sisi Wenyewe tulikuwa tunakula ugali wa Yanga
Hata Marais wa awali Yusuf Like na Godfrey Binaisa zilikuwa propaganda zetu lakini Lengo halisi lilikuwa kumuweka Milton Obote jambo lililofanikiwa
Ndivyo itakavyokuwa 😂
Hata Marais wa awali Yusuf Like na Godfrey Binaisa zilikuwa propaganda zetu lakini Lengo halisi lilikuwa kumuweka Milton Obote jambo lililofanikiwa
Ndivyo itakavyokuwa 😂