Uganda national electrol commission iwe mfano kwa tume za uchaguzi Afrika

Uganda national electrol commission iwe mfano kwa tume za uchaguzi Afrika

Joined
Sep 4, 2012
Posts
26
Reaction score
5
Kwa kilichotokea UGANDA kiwe Mfano mzuri kwa Tume za uchaguzi Africa Mara Baada ya kumtangaza mbunge wa Chama cha upinzani Mbali na kuwa korokoroni ile Hali taabani Baada ya kipigo kikali cha maafisa wa police. Uchaguzi huu ulighubikwa na fujo na kila Namna ya hujuma Ila Tume imesimamia matakwa ya wananchi
 
upewe gari zuri na nyumba nzuri, mshahara mnono umtangaze mpinzani sikuelewi kabisa.
 
ha ha ha tume ile ile iliomtangaza M7 mshindi!!!!!
 
Wapinzani na wananchi wa Uganda wanajielewa
 
Tanzania hatuna tume ya uchaguzi ila tulichonacho kinaitwa "Mock Electoral Commission" kinachofanya shughuli zake kwa maelekezo toka juu.

Wapinzani nao "Bogus" kwa kukubali kushiriki ktk chaguzi zinazoandaliwa na genge hilo la wahuni.
 
Back
Top Bottom