Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
China imetangaza kuwa itaisaidia Uganda katika mpango wake wa kuzalisha umeme kwa kutumia Nishati ya Nyuklia.
Uganda tayari imewapeleka masomoni raia wake 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya Nyuklia.
Uganda ina madini ya Urani ambayo ni malighafi ya kuzalisha nyuklia.
Uganda tayari imewapeleka masomoni raia wake 15 kwa ajili ya kujifunza masuala ya Nyuklia.
Uganda ina madini ya Urani ambayo ni malighafi ya kuzalisha nyuklia.