figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Oct 13, 2012 #1 uganda imeaga mashindano ya africa baada ya kufungwa penalti tisa kwa nane. mara ya kwanza Uganda ilivyo enda zambia ilifungwa goli moja na leo uganda imeifunga zambia goli moja lililopelekea mikwaju ya penalt. mia
uganda imeaga mashindano ya africa baada ya kufungwa penalti tisa kwa nane. mara ya kwanza Uganda ilivyo enda zambia ilifungwa goli moja na leo uganda imeifunga zambia goli moja lililopelekea mikwaju ya penalt. mia
white wizard JF-Expert Member May 18, 2011 8,321 13,290 Oct 13, 2012 #2 kwenye mpira huwa hakuna short cut hata cku moja!unavuna ulichopanda,vyama vya soka ktk ukanda huu wa EA,ni blaa blaa tu.
kwenye mpira huwa hakuna short cut hata cku moja!unavuna ulichopanda,vyama vya soka ktk ukanda huu wa EA,ni blaa blaa tu.
GREAT VISIONAIRE JF-Expert Member Sep 28, 2012 365 453 Oct 13, 2012 #3 Ni mashindano ya nini sasa hayo ? Maana najua huku ligi kuu
Belo JF-Expert Member Jun 11, 2007 12,883 10,193 Oct 13, 2012 #4 Wamejitahidi sana Uganda,Zambia wameshinda kwa penati 9-8