uganda imetolewa na zambia kwa penalti

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
uganda imeaga mashindano ya africa baada ya kufungwa penalti tisa kwa nane. mara ya kwanza Uganda ilivyo enda zambia ilifungwa goli moja na leo uganda imeifunga zambia goli moja lililopelekea mikwaju ya penalt. mia
 
kwenye mpira huwa hakuna short cut hata cku moja!unavuna ulichopanda,vyama vya soka ktk ukanda huu wa EA,ni blaa blaa tu.
 
Wamejitahidi sana Uganda,Zambia wameshinda kwa penati 9-8
 
Back
Top Bottom