bs group
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 816
- 521
Naona una mahaba na kamanda wa angaYaani watu wamejifanya kumsahau Mbowe kabisa katika hili.
Chama tawala cha nchini Uganda-NRM wamemtaka Rais Yoweri Kaguta Museveni aongoze hadi kifo. Wamedai kuwa Uganda nzima hakuna anayeweza kuwa Rais isipokuwa Rais Museveni.
Tayari NRM wameanza mchakato wa kutaka marekebisho ya katiba yatakayomuwezesha Rais Museveni kugombea Urais mwaka 2021 ingawa atakuwa amevuka umri unaoruhusiwa kikatiba. Katiba ya Uganda kama ilivyo sasa inataka mgombea asiwe na umri unaozidi miaka 75.
Mwaka 2021,Rais Museveni atakuwa na miaka 76. NRM wamesema umri hauwezi kuwa kikwazo kwakuwa ibara ya katiba itabadilishwa. Wametaka wote wanaopinga jambo hilo wachunguzwe. Hadi sasa,Rais Museveni hakusema chochote kuhusu jambo hilo. Amekuwa madarakani tangu mwaka 1986.
Chanzo: ITV Habari
Hizo ndizo sifa za Madikteta uchwara kama huyu wa kwetu...kwao wizi rukhsa, upinzani marufuku, ukabila rukhsa, haki marufuku, uonevu na unyanyasaji rukhsa, hekima marufuku, ukurupukaji na uropokaji rukhsa...kwao katiba si chochote si lolote, ni kipande tu cha karatasi.Madikteta ndivyo walivyo! Na hapa nyumbani napo wale ZERO BRAINS nao wameshaanza kumpigia debe fisadi, mwizi na dikteta uchwara eti atawale milele! Sijui kwa lipi hasa! Kweli mtaji wa wahuni na mafisadi ni wale waliopitia shule za kata na wenye uwezo finyu wa kuchanganua mambo kwa kina.
Mbowe ni Rais wa wapi mkuu?
Mwenyekiti wa Chadema na anatawala mpaka aseme basi hakuna wa kumpinga. jaribu uone.
Hujawahi kula Mbunye Nyeusi Ndio sababu unasema hivyoWaafrika hata wasingekuwapo dunia isingepungukiwa na kitu.
Mzee Mwinyi & Company. Maumivu huanza kidogo dogo. Mola atuepushe na kikombe hiki!!!!Nawasikitikia waganda, Mseveni ndo kisha chukua hivyo term nyingine. Ni umugabe mpaka anakufa. Kuna la kujifunza pia. wanachama wa chama cha NRM wanataka kubadilisha katiba ili Mseveni agombee urais mpaka kufa, mhusika mkuu ambaye ni Mseveni yuko kimya.
Habari za rais wetu kuongezewa muda zimeshaanza na hata hata miaka 2 haijafika, kelele hizi zitazidi kuongezeka hasa awamu ya pili, ungetarajia rais muungwana awakemee watu hawa ili hili jambo lisiwakae akilin. Kama Kagame, mwanzoni wanakuwa kimya, mwishoni wanasema wao wanafuata matakwa ya wananchi.
Utakujapata ugonjwa unaoendana na hilo jina lako!Mwenyekiti wa Chadema na anatawala mpaka aseme basi hakuna wa kumpinga. jaribu uone.
Tatizo hilo jina ndugu yangu, cjajua ni 4 stroke ai 2 stroke ya stroke ya mwiliYaani watu wamejifanya kumsahau Mbowe kabisa katika hili.
Wewe una stroke kwenye ubongo.Yaani watu wamejifanya kumsahau Mbowe kabisa katika hili.
wote ni viongozi; ila Mbowe anatawala milele huko Chadema.Mwenyekiti wa chama unamfananishaje na Rais anayezungumziwa kwenye mada hii? Yaani ubongo wako umejaa uvyama tu. Poor you!