Uganda at Crossroads with Gay Issue.

Uganda at Crossroads with Gay Issue.

Sodoma and Gomora. Tuangalie tusigeuke minara ya chumvi!!!! This is shamefully!!!
 
Mbona huyu ELIZABETH MATAKA ni mswahili mwenzetu(TENA UTASEMA NI mBONGO), lakini anakuwa mjingamjinga hivi?Kwanini wameikomalia sana UGANDA?Naogopa wakimalizana na Ug, watasogea hapa Tanzania...We are finished now...heeeehhh!

Halafu jina lake ni kama lile la predejee D. Mattaka!!! Hivi origin yake ni wapi?? maana kuna wakati tulikuwa tetesi eti si mtz?? Halafu naye huyu dada anatetea Gay!!!! Hivi kaka D. Mattaka naye anasifa zipi kuhusu topic hii?? Genetics katika biology............mambo ya dorminant gene factor!!! Tt xTt or TT x Tt or Tt x tt or Tt X TT , etc.
 
Kampala

The government yesterday reiterated its opposition to homosexuality and said donors were free to withdraw their funding if they wish.

Ethics and Integrity Minister James Nsaba Buturo was responding to a Daily Monitor story that Sweden had joined other countries that are pressuring the government to discard a proposed law that would severely punish homosexuality in the country.

“Homosexuality will not be promoted, encouraged or supported in Uganda,” Mr Buturo added.

Mr Buturo told journalists at the Uganda Media Centre in Kampala that: “We should remind them (the donors) that there is integrity to be defended and threats are not the way to go. If one chooses to withdraw their aid, they are free because Ugandans do not want to engage in anal sex. We do not care.”

 
Kampala

The government yesterday reiterated its opposition to homosexuality and said donors were free to withdraw their funding if they wish.

Ethics and Integrity Minister James Nsaba Buturo was responding to a Daily Monitor story that Sweden had joined other countries that are pressuring the government to discard a proposed law that would severely punish homosexuality in the country.

“Homosexuality will not be promoted, encouraged or supported in Uganda,” Mr Buturo added.

Mr Buturo told journalists at the Uganda Media Centre in Kampala that: “We should remind them (the donors) that there is integrity to be defended and threats are not the way to go. If one chooses to withdraw their aid, they are free because Ugandans do not want to engage in anal sex. We do not care.”
Unajua wakati mwingine lazima mtu uwe masikini jeuri kuliko kukubaliana na mambo mengine machafu kabisa ili mradi tu mpate misaada ya hawa wahisani.
 
Nilikuwa nasema hii miaka 4-5 iliyopita, kwamba afrika tutakuja kushinikizwa kukubali mambo haya. Wengine tulishakata kauli miaka mingi iliyopita kwamba ili afrika ibadilike njia pekee ni radical way, vuruga kila kitu anza upya, kuanzia mahusiano yetu na mashirika ya fedha ya kimataifa, dini, uhusiano na nchi tajiri n.k. Tumekubali ubepari, tukubali sasa watufundishe unafanyaje kazi, wao wameishi nao miaka mingi tu. Ushoja ni element ya ubepari, otherwise kwa nini gay couple wategemee kupata watoto ambao hawajawazaa wenyewe? We will learn it the hard way, if ever.
 
Death penalty kwa sababu tuu ni gay/lesbian ni ushenzi wa hali ya juu na hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kukubali uonezi kama huo kwa hawa watu, kusema gays/lesbian sio utamaduni wa mwafrica ni kupoteza maana nzima ya nini mana ya kuwa gay or lesbian,gay sio utamaduni wa mtu au taifa lolote,hao watu wapo dunia nzima na wanazaliwa hivyo na hakuna kitu cha kuwabadilisha,wengi humu wanajua ******* ambao ni ndugu zao,marafiki ,majirani etc wapo,walikuwepo na wataendelea kuwepo siku zote, kuwaua sio solution ni kuwakubali tuu kwenye society zetu nao waishi maisha yao bila kuingiliwa,kama hupendi magay kaa nao mbali ila usitake wauliwe au wapate mateso kwemnye society just kwa sababu huwapendi,hii inanikumbusha nikisoma History jinsi mtu mweusi alivyoonewa kwa sababu ya rangi yake tuu na kulikuwa na justification ya kila kitu na waliamini kabisa weusi ni half human na wanadeserve kuwa slave...Uganda waache wafanye wanachofanya lakini cha moto watakiona wakipitisha hizi barbaric laws,kama hawatarudishwa stone age wajue wataishia kula mizizi
 
Kampala

The government yesterday reiterated its opposition to homosexuality and said donors were free to withdraw their funding if they wish.

Ethics and Integrity Minister James Nsaba Buturo was responding to a Daily Monitor story that Sweden had joined other countries that are pressuring the government to discard a proposed law that would severely punish homosexuality in the country.

“Homosexuality will not be promoted, encouraged or supported in Uganda,” Mr Buturo added.

Mr Buturo told journalists at the Uganda Media Centre in Kampala that: “We should remind them (the donors) that there is integrity to be defended and threats are not the way to go. If one chooses to withdraw their aid, they are free because Ugandans do not want to engage in anal sex. We do not care.”

Je mawaziri wetu chini ya JK wana uwezo wa kuwa na msimamo kama huu....??
 
Death penalty kwa sababu tuu ni gay/lesbian ni ushenzi wa hali ya juu na hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kukubali uonezi kama huo kwa hawa watu, kusema gays/lesbian sio utamaduni wa mwafrica ni kupoteza maana nzima ya nini mana ya kuwa gay or lesbian,gay sio utamaduni wa mtu au taifa lolote,hao watu wapo dunia nzima na wanazaliwa hivyo na hakuna kitu cha kuwabadilisha,wengi humu wanajua ******* ambao ni ndugu zao,marafiki ,majirani etc wapo,walikuwepo na wataendelea kuwepo siku zote, kuwaua sio solution ni kuwakubali tuu kwenye society zetu nao waishi maisha yao bila kuingiliwa,kama hupendi magay kaa nao mbali ila usitake wauliwe au wapate mateso kwemnye society just kwa sababu huwapendi,hii inanikumbusha nikisoma History jinsi mtu mweusi alivyoonewa kwa sababu ya rangi yake tuu na kulikuwa na justification ya kila kitu na waliamini kabisa weusi ni half human na wanadeserve kuwa slave...Uganda waache wafanye wanachofanya lakini cha moto watakiona wakipitisha hizi barbaric laws,kama hawatarudishwa stone age wajue wataishia kula mizizi
Mkuu, mbona umeng'aka hivo? Sasa watu wote wakiwa mashoga nani ataendeleza kizazi mkuu? Ushoga unakataliwa hata na vitabu vya dini, na hata mila na desturi za makabila yetu.

Tofautisha kati ya tendency na practice. Sidhani kama mtu mwenye perveted tendency ya ushoga kama ha-practice atapatwa na hiyo adhabu. Ila yule mwenye ku-practice ndiye atakiona cha moto. Huwezi kuwa shoga kwa vitendo usilete uharibifu kwa jamii: kwa seduction zako, mfano mbaya, na kukaidi kupokea maumbile yako na kujiingiza uchafuni.
 
I like the move, shida ni kwamba, will the Ugandan government be able to maintain this stand? Or will they give in under the "right" pressure?

Mkuu, injinia, historia inatuambia vita ya Mugabe na Magharibi ilianzia hapo kwenye haki za Mapunga! samahani wapendwa sipo katika ule ulimwengu wa kuvumiliana na kupeana haki ktik mambo ya kijinga. Kiafrika tabu ipo kumzuia mtu asipige kazi za nje wakati kwake ana mke mzuri mno! sasa hiyo ya kizungu kwamba achana na akina First lady hata wang'ae vipi wewe ng'ang'anie mende dume, mpe mfereji wa maji taka! is disgusting.

kiimani kwa watumiao Biblia imeandikwa kuwa sodoma na gomora kosa kubwa lililomuudhi Mola ni sodomization, imerudi sasa mpaka mvua zinakata majira sio yenyewe.

Uganda, na kwa vile kuna mafuta yamegunduliwa na pia M7 anaonekana kuchat vema na mtata wa Iran, basi kazi ipo, utasikia tu Uganda listed in a next meeting Agenda!

nawasilisha
 
Death penalty kwa sababu tuu ni gay/lesbian ni ushenzi wa hali ya juu na hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kukubali uonezi kama huo kwa hawa watu, kusema gays/lesbian sio utamaduni wa mwafrica ni kupoteza maana nzima ya nini mana ya kuwa gay or lesbian,gay sio utamaduni wa mtu au taifa lolote,hao watu wapo dunia nzima na wanazaliwa hivyo na hakuna kitu cha kuwabadilisha,wengi humu wanajua ******* ambao ni ndugu zao,marafiki ,majirani etc wapo,walikuwepo na wataendelea kuwepo siku zote, kuwaua sio solution ni kuwakubali tuu kwenye society zetu nao waishi maisha yao bila kuingiliwa,kama hupendi magay kaa nao mbali ila usitake wauliwe au wapate mateso kwemnye society just kwa sababu huwapendi,hii inanikumbusha nikisoma History jinsi mtu mweusi alivyoonewa kwa sababu ya rangi yake tuu na kulikuwa na justification ya kila kitu na waliamini kabisa weusi ni half human na wanadeserve kuwa slave...Uganda waache wafanye wanachofanya lakini cha moto watakiona wakipitisha hizi barbaric laws,kama hawatarudishwa stone age wajue wataishia kula mizizi

hii ya kudai mtu anazaliwa hivyo kama gay au lesbian ni sayansi ya kuficha ukweli na haotofautiani na sayansi ya Benki ya Dunia iliyodai nchi inaendelea haraka ikiwekeza shule za msingi kuliko elimu ya juu!

afu leo, wana geuka eti ilimuendelee wekezeni vyuovikuu ila budget zenu zielekezwe zaidi shule za misingi!

Gay/ lesbian is a product of urban jungles! jamani mbona mambo ya kupotea test tube kwenye laboratory sekondari za kike hayajaanza leo! na hiyo kitu ipo kwa kiwango cha chini sana kwenye Co-education? Kama ni kweli wamezaliwa hivyo mbona wanapewa fedha nyingi kuliko maelezo kuwaingiza kwenye huo mchezo mchafu!

is only that we can not stand on our values, we need to say no to this is an UFISADI TO OUR MORAL VALUES?
 
Kuna documentary niliiona jinsi watalii wa kizungu wanavyokuja kenya na kuwa sodomize watoto pale mombasa na unajua polisi wa kenya hawajafungua hata kesi moja against hawa wazungu.

Sasa hao wazungu wasiotaka waganda kuweka hiyo sheria wanataka kutuletea uozo wao Afrika.Lazima waafrika tusimame imara kenye imani na tamaduni zetu!!!
 
Angelo Izama
Kampala

A senior American Senator has warned that relations between Uganda and the United States would suffer because of a proposed Bill against homosexuality.
Mr Russ Feingold, who chairs the Senate’s Committee on Africa, said he was outraged by the Anti-homosexuality Bill proposed by Ndorwa West MP David Bahati.

“Its passage would hurt the close working relationship between our two countries, especially in the fight against HIV/Aids,” Mr Feingold said in a statement released by his office. According to Mr Feingold, he has expressed his concerns to the US State Department and to President Museveni personally.

Mr Feingold is currently pushing through a law to compel the Obama administration to provide direct military assistance in dealing with the Lord’s resistance Army. Calls for political action by donors and rights groups against the Bill which is expected to pass easily in the House have mounted ever since it was tabled several weeks ago.

It emerged last week that Uganda’s main donor partners- the European Union had issued the government with a formal protest known as a demarche. The protest was signed by the American and Norwegian Ambassadors according to the Ministry of Foreign Affairs.

Officially the government has not taken a position on the Bill. Mr Henry Oryem Okello, the Minister of Foreign Affairs in charge of International Relations, told Daily Monitor he would convey the concerns of donors to Parliament. “This is a democratic country,” he said, adding that public debate on the matter was ongoing including in Parliament.

However, critics have pointed out that the Executive branch in Uganda often runs roughshod over Parliament whenever its interests are at stake and could do the same for the anti-gay Bill. Reliable sources say the government plans to uproot the death penalty from the Bill as a compromise.

America is the single biggest contributor to Uganda’s HIV/Aids fight providing $285 million this year. Under the President’s Emergency Plan for Aids Relief contributions to the Aids fight, between 2004-2008, have been some $1.2 billion according to the US Embassy in Kampala.

The private member’s Bill has been an unlikely source of diplomatic grief for Uganda which is also chair of the Africa Group at the United Nations Security Council.

However, the hostility toward homosexuality is high especially in the Anglican Communion in Uganda which has been estranged from its sister community in the United States over acceptance of gay clergy in the church.
 
Eti dunia ni kijiji?! Kwamba lazima tutafuata hata kama ni upuuzi!
Ebu fikirini je, siku wakianza kuoa mama zao mtafuata? Wazungu hao sasa wanaoga na mamazao wakiwa kwenye vichupi kwenye vijibwawa,hamuioni hatua waliyofikia?
To hell with wazungu culture,it can only serve them well and not us!!
 
Uganda oyee! That is the way, SAY NO to homosexuality, NO to anal sex and the related stupidity. Sheria hiyo ni safi sana, na tupo wengi tunaiunga mkono.

Ingekuwa hao ma-gay hawajaribu kushawishi watu wengine na watoto kufanana nao ningesema kweli ni biology, lakini no, they are very harmful to society kwa sababu wanajaribu kueneza u-gay kama ati ni dini! Kwamba wanashawishi hata watoto wadogo. Nimeona kitabu cha watu wa USAID kuhusu sexuality and sexual health education for primary schools, nilichoka! Kinasema mtoto akijisikia kama anataka wavulana wenzake asiogope, ni hali ya kawaida! Upuuzi mtupu huo.

Nataka hiyo sheria ya Uganda itumike Afrika nzima. To hell with wazungu and their money, we don't want gay money, bullshit!
 
Hi Guys.

Can an expert in genetics explain to us the possibility of homosexuality being a genetic mishap?
 
Museven na Regime yake wameishiwa hoja za kuijenga na kuiendeleza Uganda sasa wanaanza kuweka sera na sheria za kuwagawa Waganda. Shame on them...

Adhabu ya Kifo au Kufingo cha maisha kwa sababu mtu umezaliwa Gay ni ujinga, udhalilishaji na kinyume na haki za binadamu.

Ni ukosefu mkubwa wa Elimu kuamini kuwa mwanamme mzima mwenye nguvu na akili zake anaweza akaamua tu kuwa Gay kwa kujitakia...mbaya zaidi ni ulimbukeni uliopitiliza kudhani kuwa sheria kali zitafanya watu wasiwe Gay.

 
Nilikuwa namuangalia Rachel Maddow over the weekend, anam lambast a US conservative congressman aliye jump on the "Support Uganda" bandwagon bila kufanya research yake vizuri, jamaa aliona aibu mpaka aka back down.

Huku Rachel Maddow ana bango kubwa "Uganda Be kidding Me" wordplay for "U Gotta Be Kidding Me"

Ona zaidi hapa http://www.advocate.com/News/Daily_News/2009/12/04/Maddow_Uganda_Be_Kidding_Me/

rachel.jpg
 
Hi Guys.

Can an expert in genetics explain to us the possibility of homosexuality being a genetic mishap?

This would be nice, it is probably a combination of genetics and environment, but to me whether it is genetic or not is immaterial.Kila mtu anaishi anavyotaka mwenyewe, kama hajakuingilia katika anga zako why should it matter?

Waacheni wawe gay, waoane and all, waonje joto la ndoa, wa divorce, labda watachoka na kurudi kuwa straight. lakini as long as mnafanya kuwa gay ni such an otherwordly phenomenon kuna watu wanataka kuwa kwenye counter culture tu, mainstream society ikiwa straight, wao wanataka kuwa gay.I bet mainstream society ikiamua kuwa gay yote kesho wao watataka kuwa straight.

Kuna mchizi mmoja anasema yeye anavuta bangi kwa sababu imekatazwa, na siku ikiruhusiwa tu anaacha, kwa sababu inapoteza value ya kuwa kitu kilichokatazwa.

Kama hupendi the gay lifestyle, the best way to fight it is to let it be and allow it to co-exist with mainstream society, utaona watu watakavyoona illicit appeal ya kuwa gay itakavyoondoka.
 
Ktk uumbaji Mungu aliumba kila kiumbe kwa jinsi yake ya mwendelezo wa uzao na ni viwili viwili yaani kike na kiume. Hiyo ndio asili waweza kuiita dini ya asili au vyovyote uwezavyo lakini huo ndio uadilifu kwa maumbile. Sasa hawa mashoga/wasagaji waliopagawa na majini ya department ya ngono wanapaswa kutokomezwa popote waliko bila kujali ni wazungu,wahindi,waarabu au waafrika weusi. Na serikali zote makini zinapaswa kupiga marufuku makundi yote yanayojinadi kwa jina la wanaharakati wa haki za watu wanaotetea ukinyume na maumbile. Mashetani haya ndio yanayoharakisha mwisho wa siku kwa sayari yetu na maangamizi ukizingatia kuwa ukiharibu asili unavuna uharibifu!!!

Politically correct me , iam blind,dont see anything,dumb dont hear nothing,but there exist simple life forms reproduce by binary fission withought mate(female or male),believe me i forget much but still remember hermophrodite exist even in higher life forms, plants and animals and recently smart scientist did it!artificial sperm as good as real thing exposing us to expanded horizons ethically and morally challenging /like dead men fathering kids!Habari ndio hiyo.
 
Back
Top Bottom