UFUTWAJI WA BAADHI YA SHAHADA VYUONI.

UFUTWAJI WA BAADHI YA SHAHADA VYUONI.

arkam mpogoro

Member
Joined
May 20, 2025
Posts
20
Reaction score
10
Hivi karibuni katika kuanza kwa mchakato wa udahili wa wanafunzi wa shahada mbalimbali katika Chuo kikuu cha sokoine( SUA) kumekuwa na mabadiliko kidogo ya uondoaji na uunganishwaji wabaadhi ya programu za shahada mbalimbali kama ifuatavyo
1. Shahada ya sayansi ya usimamizi wa malisho yaani Range science and management, imeunganishwa na shahada ya sayansi ya wanyama ( animal science) na kuunda shahada ya sayansi ya wanyama na uzalishaji ( animal science and production)
2. Shahada ya sayansi ya Family consumer sciences imeondolewa chuoni hapo.
3. Shahada ya uhandisi wa uchakataji wa mazao na mavuno( Bio processing and post hervesting engineering) imefutwa chuoni hapo
4. Shahada ya sanaa ya maendeleo ya vijijini( Rural development) imeondolewa
5. Pia shahada ya agriculture general, agriculture extension, na Agronomy zote zimeunganishwa na kutengeza shahada ya sayansi ya kilimo, yaani Agriculture science.

JE NINI MAONI YAKO KUHUSU WAHITIMU NA WANAFUNZI WANAOMALIZIA MIAKA YAO YA MASOMO KATIKA SHAHADA HUSIKA AMBAZO ZIMEFUTWA AU KUUNGANISHWA KWA PAMOJA???
Screenshot_20250709-204920~2.png
 
Wajiandae kujiajiri maana wenzao watakaodahiliwa katika mfumo huu mpya wanagonga two-three in one na watakula kitabu kilichoshiba.
 
Back
Top Bottom