Ufunuo: Hatari kubwa CHADEMA

Nijuavyo CDM si chama cha Wakristo bali watanzania wote tena dini zote. Unabii wako siyo mbaya lakini unaweza kuwa unaelemea kwenye yanayotokea sasa.
 
Mlianza na shetani mtamaliza na shetani kumbe siku hizi hata wazinzi wanamtaja mungu kwenye maovu yao pole bwana vumilia mlianza na shetani mtamaliza na shetani.
 
Nijuavyo CDM si chama cha Wakristo bali watanzania wote tena dini zote. Unabii wako siyo mbaya lakini unaweza kuwa unaelemea kwenye yanayotokea sasa.
Kazi yetu harakati utahangaika sana lakini tamati yake ni maumivu subiri utaona omba mungu usife mapema utayaona.
 
Halafu utakuta mtu kama huyu eti na yeye anawaumini tena wanamtii kupita maelezo!Duh hawa mitume/manabii wa ki-digitali kaazi kweli kweli.
 
akomfimuje sasa?
Si kakwambia "kafunuliwa"?
Hahahah
Labda kafunuliwa na demu wake tu unadhani mungu anahangaika na wahuni kama hao make huyu juzi tu alikuwa na matatizo ja ndoa yake halafu hajatatua anatujia na ufunuo utoke wapi.
 
Labda kafunuliwa na demu wake tu unadhani mungu anahangaika na wahuni kama hao make huyu juzi tu alikuwa na matatizo ja ndoa yake halafu hajatatua anatujia na ufunuo utoke wapi.

hahaha,muogopen Mungu Simiyu Yetu,mwenzenu "kafunuliwa",hahaha,
mbavu zangu mie!
Kweli mjini kufa njaa kupenda!
 
Last edited by a moderator:

Ukweli hauwezi ukafutwa kwa uwongo wenu.mtatafutiza uwongo mpaka mtachoka ukweli utabaki umesimama palepale.
 
Ukweli hauwezi ukafutwa kwa uwongo uwongo wenu mtatafutiza uwongo mpaka mtachoka ukweli utabaki umesimama palepale.
Tena la kuvunda halina ubani likivunda linavunda tu ngonja watakimbizana mpaka kona zote za nyumba wakirudi watakuta ukweli unawasubiri tu hata wafanye nini fimbo wanazo.
 
hahaha,muogopen Mungu Simiyu Yetu,mwenzenu "kafunuliwa",hahaha,
mbavu zangu mie!
Kweli mjini kufa njaa kupenda!
Mkuu Free thinker,
jamaa huyu kituko kweli ukiingia jukwaa la mapenzi jamaa kila siku analalama tu juu ya ndoa yake sasa kama mtu kwenye ndoa tu anamatatizo si lazima awe mzinifu kwa kufunuliwa na wadada mbali mbali.
 
Mkuu Free thinker,
jamaa huyu kituko kweli ukiingia jukwaa la mapenzi jamaa kila siku analalama tu juu ya ndoa yake sasa kama mtu kwenye ndoa tu anamatatizo si lazima awe mzinifu kwa kufunuliwa na wadada mbali mbali.

Hahaa!
Halafu anadai Mungu kamwambia viongozi wamfukuze "msaliti" anaye jadiliwa sana!
Dah!
This is more than cheap politics baina ya kambi zilizopo cdm!
Mashabiki wa cdm&ccm mna kaz sana Simiyu Yetu!
Nasubiri tu na wewe "ufunuliwe" Dr.W.Slaa ni hatari sana kwa cdm,hahaha,lol
 
Last edited by a moderator:


Braza tunakujua wewe jaman huyu nitoke vp hajaanza leo wa ck nying
 
UBOVU NA MAOVU YA CCM NDIO YATASABABISHA WANANCHI KUCHAGUA HATA JIWE KUWA RAISI, naona kifo cha ccm 2015
 
Hicho kirusi kitakua ni Dr. Slaa na kirusi kisaidizi kitakua Mbowe Freeman.

Na Aunt Virus ni Zitto

I hope ata clean hao virus waliopo kwenye CDM operating system na itabaki salama kwa matumizi pasipo tatizo aina lolote...
 
Hauko sawa kabisa wewe!

Yani chama chenye watu wajinga kama Lema na Yericko Nyerere kipate baraka Mungu?!

Hakika wewe utakuwa umevurugwa usiku si bure!
 
SIASA NA DINI:
Mimi ni muumini pia na ninaamini Biblia kama wengine wafanyavyo, mbali ya hayo ni mwalimu mstaafu wa chuo cha theologia. Nina Masters ya theologia na nina Doctorate katika mambo ya serikali in general. Lakini siamini kuwa Mungu ana vyama vya siasa ila naamini kuwa ana watu ambao wana taifa lao na wote kwake ni sawa. Kwa hiyo tusiingize mambo ya imani na tafsiri binafsi za maandiko. Tukifanya hivyo tutawavuruga wengi. Kwani siasa na Dini havichanganyiki, ukilazimisha kibuyu kinapasuka.
 
Hakika umenena, chama kinahtaji dua za dini zote ispokuwa dini ya shetani
 

Haya Mkuu tumeshajua una masters ya theolojia na una doctorate..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…