Ufundi wa water pump

Ufundi wa water pump

Infiltrator

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2017
Posts
205
Reaction score
333
Mambo vipi wadau.
Wadau vipi kuhusu hii fani ya ufundi wa water pump je kwa mazingira ya sasa inahitajiwa?
Vijana wote mliomaliza vyuo na hamjapata ajira nawakumbusha kuwa kuna university inaitwa VETA mkuje huku
 
Hahaha mtakuwa mnasoma mnamaliza mnaanza mnamaliza mpaka mnakufa.
Kuna kazi kutembeza magazeti ya uhuru na mzalendo, huwezi kufa njaa.
 
Hahaha mtakuwa mnasoma mnamaliza mnaanza mnamaliza mpaka mnakufa.
Kuna kazi kutembeza magazeti ya uhuru na mzalendo, huwezi kufa njaa.
Mkuu Acha kuongea hivyo...hiyo kazi uliyonayo Mungu ndiye aliyekupa na wala hukuipata kwa ujanja wako
 
Mambo vipi wadau.
Wadau vipi kuhusu hii fani ya ufundi wa water pump je kwa mazingira ya sasa inahitajiwa?
Vijana wote mliomaliza vyuo na hamjapata ajira nawakumbusha kuwa kuna university inaitwa VETA mkuje huku
Za magari? za visima virefu?
 
Back
Top Bottom