qaxemvule
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 230
- 117
mkuu una maana uko ulaya sijui ndo mnaita yuesi beibi kukiwana na jambo bovu tukalifanya na sisi inakuwa poa tu!Hii kitu hata ulaya ipo sana.
mkuu una maana uko ulaya sijui ndo mnaita yuesi beibi kukiwana na jambo bovu tukalifanya na sisi inakuwa poa tu!
sawa, hapo nimekuelewa mkuuMara nyingi takataka kama hisogezwa na maji kutokea eneo jingine hadi kny fukwe...yaweza kuwa chanzo ni mabomba ya maji machafu.
Ukiambiwa wewe ni mzushi kama vijana wa bavicha unakasirika. Ni afadhali uongeze kuwa hapo sio Tanzania.