cuthbert sezari
Member
- Sep 5, 2014
- 45
- 37
SEZARI AQUACULTURE SERVICES iliyopo ndani ya jiji la MWANZA, inakuletea Huduma bora za ufugaji Samaki( viumbe hai Wa majini), tunatoa Huduma zifuatazo: uchaguzi Wa eneo la kuchimba bwawa, uchimbaji Wa mabwawa, ujenz Wa mabwawa Na kuweka plastic sheet kama n lazima, urutubishaji wa bwawa Na kukinga magonjwa ya Samak, kupima ubora Wa Maji ya kufugia Samaki, Vifaranga bora Vya Samaki aina ya sato Na kambale, Vyakula bora Vya Samaki, utengenezaji Wa Cage( ufugaji kwenye vizimba), uzalishaji wa vifaranga bora vya samaki, utengenezaj Wa Aquariums, usafirishaji, Pamoja Na Huduma zote za ufugaji Samaki piga simu namba: 0769752665 au 0786688200Huduma zetu zinamfikia Mteja popote alipo bila shda yoyote, nyote mnakaribishwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app