shin gun wook
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 995
- 1,510
ili kulifuga uwe na Pesa ya kutosha ,chakula chake tu sio mchezoHao ni mbwa wa aina mbili, wana nguvu sana na ni very agressive, sifa yao namba moja usiwachanganye na mbwa wengine, na ukifanya hivyo tu basi jua huyo mbwa mwingine utamkuta kafa siku inayofwata!!
Mbwa anayefaa kufugwa bila masharti mengi ni german shefield, hawa wanatumika hata na polisi. Ni rahisi kuwafundisha tofauti na hao rotweiler na pitbull... Rottaweiler
View attachment 808761
Pitbull
View attachment 808763