Ufugaji wa Mbwa: Ndio habari ya mjini kwa sasa, wanalipa ile mbaya kabisa !

Hao ni mbwa wa aina mbili, wana nguvu sana na ni very agressive, sifa yao namba moja usiwachanganye na mbwa wengine, na ukifanya hivyo tu basi jua huyo mbwa mwingine utamkuta kafa siku inayofwata!!

Mbwa anayefaa kufugwa bila masharti mengi ni german shefield, hawa wanatumika hata na polisi. Ni rahisi kuwafundisha tofauti na hao rotweiler na pitbull... Rottaweiler

View attachment 808761

Pitbull
View attachment 808763
ili kulifuga uwe na Pesa ya kutosha ,chakula chake tu sio mchezo
 
Jamaa nnahisi sio mfugaji.. Maana mbwa unayemfuga yupo so loyal kwa mmiliki kuliko hata binadamu mwenzie.

Wazoefu wanasema mbwa ni mnyama ambaye hata ukilala njaa hatokukimbia atalala na yeye na njaa ila sio mnyama kama Paka ukilaza njaa siku 1 tu ya 2 anakukimbia
yani ndo ukweli mtupu,mbwa wako wamekuzoea hawawezi kukufanya chochote ata kama wa njaa utajua tu
 
Kila kona Mbwa… mbwa… Mbwa dili sana!

Bila laki 4 au 5 hupati mbwa mzuri aliyenona na mwenye sura nzuri. Mpaka laki 7 unanunua mbwa tena kijibwa tu aisee! Wa kijerumani na France ndo ghali mno.

Ila ukiwa mlevi usithubutu kufuga mbwa.Umetoka kazini unapitia mahali kula kula bia wakati home mbwa hajala wala kunywa maji. Anakugeuza ndafu *****.

Fuga mbwa ule bata mjini.Hela nje nje. Kama mlevi usifuge mbwa.

Atakutafuna mpaka makende yako.
Au ndio mumemuchukua mbwa wa Yule waziri?????
 
nijuacho kuhusu mbwa....hatabkama ni mmiliki afu ukajiweka mbali naye...yeye anachojua bosi wake ni yule anayempa chakula...huyo ndo anaweza kumuamlisha na akamtii...but sio mtu mwengine asee
yani ndo ukweli mtupu,mbwa wako wamekuzoea hawawezi kukufanya chochote ata kama wa njaa utajua tu
 
Fuga rotta weiler au pitpull alafu usimpe chakula siku mbili uone...
Hawa mbwa hata kama una watoto wadogo hushauriwi kuwafuga unaweza kuta kamla mtoto ha ha ha ha ha ni watata mno akikutana na hivi vi mbwa koko anahakikisha kakiua ndio anamwachia
 
Mbwa raha sana...wezi tunawaskia kwa jirani tu kila siku...Kero yao ni kelele zao ki ukweli Wanaboa Tena wanaboa haswaaaaaa.
 
Ukiwa na mbwa, huyo anakuwa sehemu ya familia yako kwa maana ya bajeti, bila kufanya hivyo unakaribisha matatizo nyumbani. Ila mbwa wanasaidia sana nyumbani, kwani swala la vibaka nk utakuwa unasikia tu kwa majirani.
True
 
Kilimo cha uyoga kinalipa sana....

Ufugaji wa sungura unalipa sana....

Ufugaji wa kwale unalipa sana....

Fuga mbwa ule bata mjini....

Aina hizo za biashara hazifai kwa nchi maskini ni kwa vile ni luxury fulani same as asali,vinahitaji high purchasing power
 
Hao ni mbwa wa aina mbili, wana nguvu sana na ni very agressive, sifa yao namba moja usiwachanganye na mbwa wengine, na ukifanya hivyo tu basi jua huyo mbwa mwingine utamkuta kafa siku inayofwata!!

Mbwa anayefaa kufugwa bila masharti mengi ni german shefield, hawa wanatumika hata na polisi. Ni rahisi kuwafundisha tofauti na hao rotweiler na pitbull... Rottaweiler

View attachment 808761

Pitbull
View attachment 808763
Hichi kimbwa cha chini kimejaa kama kipiga chuma
 
Back
Top Bottom