Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kila kona Mbwa… mbwa… Mbwa dili sana!
Bila laki 4 au 5 hupati mbwa mzuri aliyenona na mwenye sura nzuri. Mpaka laki 7 unanunua mbwa tena kijibwa tu aisee! Wa kijerumani na France ndo ghali mno.
Ila ukiwa mlevi usithubutu kufuga mbwa.Umetoka kazini unapitia mahali kula kula bia wakati home mbwa hajala wala kunywa maji. Anakugeuza ndafu *****.
Fuga mbwa ule bata mjini.Hela nje nje. Kama mlevi usifuge mbwa.
Atakutafuna mpaka makende yako.
Bila laki 4 au 5 hupati mbwa mzuri aliyenona na mwenye sura nzuri. Mpaka laki 7 unanunua mbwa tena kijibwa tu aisee! Wa kijerumani na France ndo ghali mno.
Ila ukiwa mlevi usithubutu kufuga mbwa.Umetoka kazini unapitia mahali kula kula bia wakati home mbwa hajala wala kunywa maji. Anakugeuza ndafu *****.
Fuga mbwa ule bata mjini.Hela nje nje. Kama mlevi usifuge mbwa.
Atakutafuna mpaka makende yako.