Hamza chimpaga
Member
- Sep 25, 2018
- 12
- 8
Habarin za kazi wana jamvi, nina mpango wa kuanza ufugaji wa bata mzinga ila sina taaluma juu ya hao bata naomba kupewa elimu kuhusu ufugaji, pia changamoto na upatkanaji wa masoko
Nawasilisha kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasilisha kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app