Haya Jerry Muro nae karudi msimsahau Sechelela Kongola wa TBC1 ameripoti hata tuhuma za Rushwa Arusha wakati mpiga picha anawakimbia waandishi wenzake
Hongera Ufoo Saro aliniwahi Kibaha wakati malori mawili ya mafuta yalipoungua pale vigwaza tarehe 06 / may / 2010 na mm nikiwepmo ndani lakini nilinusurika Mdada huyu wa ITV aliwahi wa kwanza alfajiri