Ufisadi Zanzibar (Corruption in Zanzibar)

Ufisadi Zanzibar (Corruption in Zanzibar)

Wizara ya miundombinu ilikuwa inaongozwa na Waziri toka CUF!

Unaona eeh wengi hawajui mawaziri Upinzani walipewa Wizara nyeti washughulikie matokeo yake ndio hayoooo!
 
Magufulification ni process inayoweza kutumiwa popote ulimwenguni kwani Magufulifiation ni processs si mtu. Wenye kujua kunyambua maana ya muagufulification watiririke.

Kumbe unahitaji msaada kutoka kwa wanaojua?
 
Kumbe unahitaji msaada kutoka kwa wanaojua?

Kila mtu anajua Magufuli go achana na walaji wachche ambao kwa saa wana uchungu utadhani waliyoyaanya ni halali!!!!
 
Kila mtu anajua Magufuli go achana na walaji wachche ambao kwa saa wana uchungu utadhani waliyoyaanya ni halali!!!!

Ccm ni ile ile na vingozi wao ni wale wale
 
Balozi Seif Ali Idi ndie muhusika wa hiyo meli,aje atuambie ni mpya au kongwe,ufisadi kama huu unanikumbusha enzi za rada.

Lazima balozi awe ameshirikiana na wachonga dili wa Tanzania bara maana kwa hulka ya wazanzibar si mafisadi wa kiasi hicho lazima wamo mawaziri wapiga dili wa bara maana wizara ya Fedha ni ya muungano.
 
Back
Top Bottom