Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
UFISADI WA KUTISHA WILAYA YA CHUNYA
Kwenu viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA),tunaomba msaidie kuongelea wananchi wa wilaya ya chunya mkoani mbeya,kuna mtumishi wa halmashauri ya wilaya ya chunya ambaye ni afisa mifugo na kaimu mkuu wa idara ya kilimo katika halmashauri hiyo kwa jina anaitwa Adamu Mbare amekuwa akikusanya ngombe kwa wafugaji wa wilaya hiyo hasa vijijini kwa kisingizio cha kuwatibu.ili kukomboa ngombe aliyekamatwa unatakiwa ulipe shilingi elfu ishirini(20,000) kwa ngombe mmoja la sivyo anachukua ngombe huyo na kupeleka kwenye zizi lake lililopo nje kidogo ya mji wa chunya.Tunaomba mtusaidie kuusemea ufisadi huu ikiwezekana hata bungeni.ushahidi wa kutosha upo.
source:Waathirika Chunya
Kwenu viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA),tunaomba msaidie kuongelea wananchi wa wilaya ya chunya mkoani mbeya,kuna mtumishi wa halmashauri ya wilaya ya chunya ambaye ni afisa mifugo na kaimu mkuu wa idara ya kilimo katika halmashauri hiyo kwa jina anaitwa Adamu Mbare amekuwa akikusanya ngombe kwa wafugaji wa wilaya hiyo hasa vijijini kwa kisingizio cha kuwatibu.ili kukomboa ngombe aliyekamatwa unatakiwa ulipe shilingi elfu ishirini(20,000) kwa ngombe mmoja la sivyo anachukua ngombe huyo na kupeleka kwenye zizi lake lililopo nje kidogo ya mji wa chunya.Tunaomba mtusaidie kuusemea ufisadi huu ikiwezekana hata bungeni.ushahidi wa kutosha upo.
source:Waathirika Chunya