Hofu yangu ni kwamba siwaoni kwenye nyama siku hizi! Waziri Mkuchika anaweza kutukataza na sisi Tusiwalumbe hawa magabachori, maana nd'o kazi ya serikali siku hizi, kuwapigania na kuwalinda magabocholi (wacha niitwe racist!) But inafikia mahala inabidi tutoe kauli kali. SOmaiya hana jipya. wanatuona sisi mabwege na mambumbu. Kwa sababu tu wanao akina mkuchika na mama simba, basi they'r above da law!!