Ufisadi wa NSSF, Dr. Dau atapona?

Ufisadi wa NSSF, Dr. Dau atapona?

Nimepitia humu nashangaa sjamuona mohamed said wala Ritz wala abbassyria na wapuuzi wengineo wafaidika wa wizi wa balozi,hicho kilichohojiwa PAC Jana ni mwanzo tu ya mengi yatakayohojiwa,bado viwanja hewa nk,lazima nyoka achomolewe shimoni safari hii maana hiyo ripoti imetinga PAC ndo iingie bungeni,bahati mbaya rafiki yangu zito alikuwa m/kiti PAC na madudu mengi aliyafukia sababu ya uswahiba na balozi na mkwere na hata yule jamaa yulee pale St.peter, wote hao ni wamoja
Ritz hawezi kuja hapa. Ni kama msikiti tulio jirani na bucha ya KITIFIRE
 
Yawezekana Mahakama ya ufisadi ambayo tuliambiwa itaanza July mosi itapata kesi za kusikiliza.
 
Tanzania amna kitu kama icho,Gambo kafikishwa kwenye tume ya maadili mara mbili ila sasa hivi ni mkuu wa mkoa. Uyu Dau kaifilisi NSSF lakini hawatoweza kumgusa kwasababu amna mtu anaepinga ufisadi.
Lowassa kaitwa fisadi miaka nane,lakini waliomwita fisadi wakata awe Rais
 
Kamata Dau ikibainika rudisha nyumbani fikisha mahakamani funga mafisadi wote.
 
Ukiwa fisadi Tanzania unapewa na cheo cha kukulinda.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.[HASHTAG]#Lekatutigite[/HASHTAG]
Mbona Lowasa hajapewa kama mafisadi wanapewa nafasi
 
Tusimtegemee sana Rais kuondoa ufisadi nchini. Tujenge taasisi. Hili figisu la NSSF na madili yote nchini yanapigwa mbele ya macho yetu wote.

Kwa nini parliamentary oversight inafanyika baada ya tukio? Walikuwa wapi kuzuia?

Attorney General alikuwa wapi wakati mkataba una move down the stages, haukupita kwake?

Procurement records zinasema washindani wali submit valuation gani ya kiwanja? Kwa nini NSSF walichukua valuation ya Azimio, was it the cheapest?

Mkataba unasemaje? Prof. Kyaharara anaposema Azimio wamekiri utapeli wao halafu hapo hapo anasema the contract is binding kwa nini is binding? A first principle of contract law is that material misrepresentation renders a contract voidable by a relying party. Na kama contract is binding kwa nini unajitangaza kwamba wewe sasa ndio majority owner?

Na unaposema Azimio wana akili, wamekuja kwenye mkutano na ma lawyer nane, NSSF haina in-house and contract lawyers wanane? Nani ameandika mkataba kama ni issue na nyinyi kupata ma lawyer wa 8?

I mean, there are so many layers to this crippling fiasco, we will need the answers. Dau ni dhahiri ni fisadi papa lakini tukimuangalia Dau, Magufuli, Kikwete peke yao hatujengi institutions.
 
Kumbe ndo maana wanalazimisha kuundoa FAO la kujitoa Kumbe Fedha washatafuna kulima tulima sie kuvuna wanavuna wao "Rais wa wanyonge "ASIYEJUA UTU SI MTU
 
HUYU NDIO BOSI MPYA WA NSSF


unknown-1-jpeg.424886
unknown-1-jpeg.424886
unknown-jpeg.424885
unknown-2-jpeg.424887
 
wadini mtaumia sana,hadi muharibu mimba na kuvuruga tarehe zenu za hedhi
Dau pekee ndo mwenye dini au ndo mtume mohamed,mramba na yona hawakuwa na dini,mahalu na kitilya wao ni wapagani,sasa dau hatumponyeshi na kisutu atasonga
 
Dau pekee ndo mwenye dini au ndo mtume mohamed,mramba na yona hawakuwa na dini,mahalu na kitilya wao ni wapagani,sasa dau hatumponyeshi na kisutu atasonga

Mkuu wala usimlaumu yatupasa tumlaumu Forojo Ganze kadumaza akili za waTanzania wengi.
 
Dau pekee ndo mwenye dini au ndo mtume mohamed,mramba na yona hawakuwa na dini,mahalu na kitilya wao ni wapagani,sasa dau hatumponyeshi na kisutu atasonga
akisonga kisutu ni PM..DAU ameshutumiwa udini tangu siku zake za mwanzo za ukurugenz
 
Vijana wa dau aka dount touch my shoes wamenyong'onyea yaani Dau Wa kumnyonga kabisa
 
Back
Top Bottom