Ufisadi wa NSSF, Dr. Dau atapona?

Ufisadi wa NSSF, Dr. Dau atapona?

Mr Dau ni balozi wa Malaysia after 8 month vetting inatosha kuthibitisha alikuwa hana hatia......

Kama atakuwa fisadi basi tuanze na kitengo cha vetting Ikulu kwa kukipekua

Lakini zaidi ya hapo Hizo polojo za magazeti ya udini na kuchafuana.............

Atarudishwa na kutinga kisutu
 
TE="celinawetu, post: 18233789, member: 355326"]Wewe hata utafute kumchafua kahyarara hutaweza na dau wenu atashugulikiwa technically,mlianza surbotage prof kawatimua mjini,huko mliko ntaishia kuandika ujinga mitandaoni na pia mtafuatwa kouko[/QUOTE]

Dau anafaaaa ahukumiwe kunyongwa mpaka kufaaa

Dau
 
Naunga mkono hoja.Hizi tuhuma ni nzito.Isije ikaonekana tumbua tumbua ni kuonea vidagaa na kuacha mapapa.
Isitoshe wakurugenzi wote wa idara mbali mbali chini ya Mh.Dau walishasimamishwa kupisha uchunguzi.Why not Mh.Dau?
Limbuyu likubwa huwezi kuliangusha kama kamti ka muhogo maana kishindo chake ni kikubwa, labda unafanya maarifa na kuupeleka mbali kusiko na watu alafu unaanza kuingilia mambo yaliyokuwa yakifanyika. Ili kuweka mambo sawa na 'kuiona' kamati unakuta inakuwa vigumu na labda inalazimika kupiga simu ambazo zinadukuliwa na kusafiri (kuja home) inatakiwa kibali cha mkulu. Lakini ni kwa nini hata Mzee wa TRA hawakufanyiwa hivi!?
Atakayetufaa zaidi ni atakayetueleza huyu mnyama Azimio asili yake ni wapi, anaishi wapi na anamilikiwa na nani!
 
HUYU MMILIKI WA NEWCASTLE UNITED AMBAE AMEJENGA SANTIAGO BERNEBEO NYUMBANI KWAKE MJIMWEMA AU DAU YUPI?
 
nasikia alikuwa bingwa wa.kupiga madufu,na mpaka sasa anafanya kazi hiyo.

ule msikiti wa pale ofisini unatumiwa na nani mpaka tunahangaika na moroko?
 
HUYU MMILIKI WA NEWCASTLE UNITED AMBAE AMEJENGA SANTIAGO BERNEBEO NYUMBANI KWAKE MJIMWEMA AU DAU YUPI?
Nimepitia humu nashangaa sjamuona mohamed said wala Ritz wala abbassyria na wapuuzi wengineo wafaidika wa wizi wa balozi,hicho kilichohojiwa PAC Jana ni mwanzo tu ya mengi yatakayohojiwa,bado viwanja hewa nk,lazima nyoka achomolewe shimoni safari hii maana hiyo ripoti imetinga PAC ndo iingie bungeni,bahati mbaya rafiki yangu zito alikuwa m/kiti PAC na madudu mengi aliyafukia sababu ya uswahiba na balozi na mkwere na hata yule jamaa yulee pale St.peter, wote hao ni wamoja
 
ccm wote hakuna aliye msafi msije shangaa Dr Dau asiguswe maana alishamsaidia mheshimiwa
ndiyo maana kapewa ubalozi.
 
Mmiliki wake ni fisadi papa moja laitwa Baghdad...alishawahi fungwa kwa kesi nyingi sana za ardhi...anajulikana na ni tajiri fulani hivi!......ana gorofa zaidi 100 kariakoo na upanga....hiyo ni partnership na yule Vasco da Gama.....ndio aliemshika mkono na kumtambulisha kwa Alhaji wetu Balozi.....sasa kama wanaweza kufukua makaburi hayo yetu macho zaidi watafukia na kufunika kimbe.........siku 2 baada MFALME kuapishwa jamaa alishajua nini kinakuja akatimua zake mbio hayupo tena maana walishagombana na mfalme kwenye lileeee daraja....kama hujui daraja lilisukwa na kupewa nssf sababu mradi huo mkubwa.....unganisha dots utaelewa! Lile daraja halikusimamiwa na wizara ujenzi walisimamaia nssf wenyewe na project team yao!! Mwenye azimio dege project alishasepa.......
Nani mmiliki wa hii kampuni ya Azimio, na kwa sasa yupo wapi?kwa nn hajakamatwa?
 
Mmiliki wake ni fisadi papa moja laitwa Baghdad...alishawahi fungwa kwa kesi nyingi sana za ardhi...anajulikana na ni tajiri fulani hivi!......ana gorofa zaidi 100 kariakoo na upanga....hiyo ni partnership na yule Vasco da Gama.....ndio aliemshika mkono na kumtambulisha kwa Alhaji wetu Balozi.....sasa kama wanaweza kufukua makaburi hayo yetu macho zaidi watafukia na kufunika kimbe.........siku 2 baada MFALME kuapishwa jamaa alishajua nini kinakuja akatimua zake mbio hayupo tena maana walishagombana na mfalme kwenye lileeee daraja....kama hujui daraja lilisukwa na kupewa nssf sababu mradi huo mkubwa.....unganisha dots utaelewa! Lile daraja halikusimamiwa na wizara ujenzi walisimamaia nssf wenyewe na project team yao!! Mwenye azimio dege project alishasepa.......
Mkuu haitwi bakdad huyu ni Akbar ni watu tofauti,ila Azimio ni kampuni ya dau kufanyiwa wizi
 
Back
Top Bottom