mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Wakuu nawajulisha kuwa kuna ufisadi unaoendelea katika wizara, idara na taasisi zote za serikali katika kipindi hiki cha kuelekea bajeti tajwa kwa kisingizio cha kumalizia mafungu ya 2010/2011!
Yaani kuna semina mbuzi zimeanzishwa, kuna safari watu wanapeana ili kupata posho (per diem). Mi hapa nimeunganishwa kwenye semina haina kichwa wala miguu kuna posho zinagawiwa hadi nasikia uchungu.
Kama hali ndiyo hii basi watz wataendelea kuwa katika hali ngumu ya maisha. Kwanini haya mafungu yaliyobaki yasiunganishwe yote yakapelekwa kwenye shughuli za maendeleo kama kweli tuna nia ya dhati ya kuwasaidia watz badala ya kuendekeza ukware wetu!!!
Yaani kuna semina mbuzi zimeanzishwa, kuna safari watu wanapeana ili kupata posho (per diem). Mi hapa nimeunganishwa kwenye semina haina kichwa wala miguu kuna posho zinagawiwa hadi nasikia uchungu.
Kama hali ndiyo hii basi watz wataendelea kuwa katika hali ngumu ya maisha. Kwanini haya mafungu yaliyobaki yasiunganishwe yote yakapelekwa kwenye shughuli za maendeleo kama kweli tuna nia ya dhati ya kuwasaidia watz badala ya kuendekeza ukware wetu!!!