Ufisadi wa Kutisha Awamu ya 5 'Mbunge adai Afisa Masuuli wa Loliondo DC alitokomea na Mil.341 huku akimziba DC mdomo kwa mil.90'

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
19,586
14,138
Wakuu niwape hongera kwa kuchapa Kazi..

Mbunge wa Loliondo akijadili taarifa ya Laac na Pac Bungeni amenukuliwa akisema Afisa Masuuli wa Halmashauri ya Loliondo alikwapua pesa za Umma zaidi ya mil.341 zilizotolewa na Tanesco kwa ajili ya Fidia kwa wananchi na kutokomea nazo kusikojulikana..

Alipoharibu kufuatiliwa alidai pesa hizo zinaenda kutumika na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa mwaka 2020..

Kwa mujibu wa mbunge fusadi huyo papa alichukua kiasi Cha sh.mil.90 na kumhonga DC wa Loliondo Ili apotezee suala hilo..

Kwa mujibu wa CAG alipofuatiliw pesa hizo huko Time ya Uchaguzi walidai kwamba pesa hizo wao hawazitambui na Wala haziko kwenye hesabu zao..

Kiukweli inasikotisha na kutia hasira Sana kwamba wakati wengine wakiumia kwa kuvuja jasho jingi na pesa zao kuchukuliwa na Serikali Kwa njia ya Kodi na tozo mbalimbali ila kuna Watzn wenzetu wanaojiita viongozi wamekuwa wakitumia dhamana zao kuiba pesa za Umma na Mamlaka haziwachukulii hatua zozote kwa sababu wote ni Wanufaika..

Cha ajabu watu hao waliofanya huu ufisadi licha ya kuripotiwa bado wako ofisini hadi leo hii na hakuna hatua zilizochikuliwa..

Watzn ifike mahala tuache ukondoo wa kijinga,utii ukizidi unakuwa upumbavu..

Source ;The Chanzo blog 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221107-122153.png
    Screenshot_20221107-122153.png
    122.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221107-122137.png
    Screenshot_20221107-122137.png
    125.8 KB · Views: 6
  • Mbunge_asema_nchi_imelea_mfumo_wa_wizi,_aibua_upigaji_%22ni_kama_wa_EPA%22_Manaibu_Mawaziri_wa...mp4
    37.4 MB
Wizi ni dhambi, ifike mahali watu wamuogope Mungu, hata Kama wananchi hawakuoni, lakini unapokuwa kiongozi jua kwamba umewekwa hapo na Mungu, na Mungu anaona kila kitu unachokifanya, kwa Nini usitosheke na mshahara wako, hivyi itakusaidia nini ukipata mamilioni yote haya kwa wizi alafu nafsi yako kutupwa motoni??? Watumishi wengi wa serikali dunia inawadanganya Sana, wanaona ni ufahari kuiba helà ya wananchi, kujilimbikizia mali, wamesahau kuwa Kuna mbingu, wamesahau kuwa kuna Moto wa jehannum, wamesahau kuwa Kuna ziwa la Moto, hata ukiwa na bilions of money hazitakusaidia kuingia mbinguni, walikuepo watu maarufu waliokuwa na pesa, lakini leo wanachemka motoni waliibia serikali wakijua kwamba wanakula kulingana na urefu wa kamba yao lakini Leo hii wanachemka motoni na hawana nafasi nyingine ya kutubu!! Ole wake asiyemwaminifu kwa nafqsi aliyepo!

Warumi 6:21
Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.

Warumi 6:22
Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru, na kuwa mbali na dhambi, na kufanywa watumwa wa Mungu, mnayo faida yenu, ndiyo kutakaswa, na mwisho wake ni uzima wa milele.

Warumi 6:23
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
 
Wizi ni dhambi, ifike mahali watu wamuogope Mungu, hata Kama wananchi hawakuoni, lakini unapokuwa kiongozi jua kwamba umewekwa hapo na Mungu, na Mungu anaona kila kitu unachokifanya, kwa Nini usitosheke na mshahara wako, hivyi itakusaidia nini ukipata mamilioni yote haya kwa wizi alafu nafsi yako kutupwa motoni??? Watumishi wengi wa serikali dunia inawadanganya Sana, wanaona ni ufahari kuiba helà ya wananchi, kujilimbikizia mali, wamesahau kuwa Kuna mbingu, wamesahau kuwa kuna Moto wa jehannum, wamesahau kuwa Kuna ziwa la Moto, hata ukiwa na bilions of money hazitakusaidia kuingia mbinguni, walikuepo watu maarufu waliokuwa na pesa, lakini leo wanachemka motoni waliibia serikali wakijua kwamba wanakula kulingana na urefu wa kamba yao lakini Leo hii wanachemka motoni na hawana nafasi nyingine ya kutubu!! Ole wake asiyemwaminifu kwa nafqsi aliyepo!

Warumi 6:21
Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.

Warumi 6:22
Lakini sasa mkiisha kuwekwa huru, na kuwa mbali na dhambi, na kufanywa watumwa wa Mungu, mnayo faida yenu, ndiyo kutakaswa, na mwisho wake ni uzima wa milele.

Warumi 6:23
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Machozi ya samaki mtoni..

Taifa limelea wizi sasa ni utamaduni.
 
Aliyeleta hii habari upeo wake mdogo sana! Sikatai kuwa ufisadi unaweza kuwepo lakini tambua kuwa fedha za Serikali hazihami kirahisi rahisi kama unavyotaka watu waamini!
Milioni 341 Afisa masuuli azichukue tu kama anavyotoa fedha kwenye Account yake binafsi?
Halafu tena achukue Milioni 90 kwa ajili kumpa DC !
 
Aliyeleta hii habari upeo wake mdogo sana! Sikatai kuwa ufisadi unaweza kuwepo lakini tambua kuwa fedha za Serikali hazihami kirahisi rahisi kama unavyotaka watu waamini!
Milioni 341 Afisa masuuli azichukue tu kama anavyotoa fedha kwenye Account yake binafsi?
Halafu tena achukue Milioni 90 kwa ajili kumpa DC !
Usiwe unabisha upumbavu upumbavu,kwanza unaelewa Tanesco wanavyofanya Kazi? Tanesco huwa Wana hard cash wanapofanya shughuli zao..

Mwisho kuna video hapo refers maelzo ya mbunge akinukuu taarifa ya CAG ndio uje kuropoka Hapa.
 
Kila kitu mnacho, Mahakama, takukuru, dpp mpaka raisi kwa nini hamuchukui hatua kwenye huo Ufisadi? Vinginevyo ni empty air tu!
Ndio na mimi nashangaa,ukiona hivyo ujue kuna wizi unaratibiwa kuanzia kwenye masuala ya siasa hadi kw watendaji..
 
Aliyeleta hii habari upeo wake mdogo sana! Sikatai kuwa ufisadi unaweza kuwepo lakini tambua kuwa fedha za Serikali hazihami kirahisi rahisi kama unavyotaka watu waamini!
Milioni 341 Afisa masuuli azichukue tu kama anavyotoa fedha kwenye Account yake binafsi?
Halafu tena achukue Milioni 90 kwa ajili kumpa DC !
Hii taarifa ilitolewa bungeni kwenye kamati ya laac na pac kwenye ukaguzi mdogo uliofanywa na cag sioni alichokosea labda kama huna taarifa ni bora uulize
 
Aliyeleta hii habari upeo wake mdogo sana! Sikatai kuwa ufisadi unaweza kuwepo lakini tambua kuwa fedha za Serikali hazihami kirahisi rahisi kama unavyotaka watu waamini!
Milioni 341 Afisa masuuli azichukue tu kama anavyotoa fedha kwenye Account yake binafsi?
Halafu tena achukue Milioni 90 kwa ajili kumpa DC !
Hapo ndio kituko Sasa maana hata Benki Wana ukomo wa fedha za kutoka Mtumishi
 
Nchi ya kifala saana, wezi wanaiba na bado wapo madarakani.. Kila mwaka ripoti ya CAG inakuja na mabovu ya viongozi ila yanaishia juu juu tu.

Siku tulijitoa akili kama wa ssiyaralanka, huenda akili zikawarudia.
 
Bunge limekua tamu sana kama kipindi cha jakaya watu ni kulipuana tu! Hapa kati alibaki CAG peke yake ONE MAN ARMY huku bunge likiwa limepooza kabisa
 
Wakuu niwape hongera kwa kuchapa Kazi..

Mbunge wa Loliondo akijadili taarifa ya Laac na Pac Bungeni amenukuliwa akisema Afisa Masuuli wa Halmashauri ya Loliondo alikwapua pesa za Umma zaidi ya mil.341 zilizotolewa na Tanesco kwa ajili ya Fidia kwa wananchi na kutokomea nazo kusikojulikana..

Alipoharibu kufuatiliwa alidai pesa hizo zinaenda kutumika na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa mwaka 2020..

Kwa mujibu wa mbunge fusadi huyo papa alichukua kiasi Cha sh.mil.90 na kumhonga DC wa Loliondo Ili apotezee suala hilo..

Kwa mujibu wa CAG alipofuatiliw pesa hizo huko Time ya Uchaguzi walidai kwamba pesa hizo wao hawazitambui na Wala haziko kwenye hesabu zao..

Kiukweli inasikotisha na kutia hasira Sana kwamba wakati wengine wakiumia kwa kuvuja jasho jingi na pesa zao kuchukuliwa na Serikali Kwa njia ya Kodi na tozo mbalimbali ila kuna Watzn wenzetu wanaojiita viongozi wamekuwa wakitumia dhamana zao kuiba pesa za Umma na Mamlaka haziwachukulii hatua zozote kwa sababu wote ni Wanufaika..

Cha ajabu watu hao waliofanya huu ufisadi licha ya kuripotiwa bado wako ofisini hadi leo hii na hakuna hatua zilizochikuliwa..

Watzn ifike mahala tuache ukondoo wa kijinga,utii ukizidi unakuwa upumbavu..

Source ;The Chanzo blog 👇
Acheni kumpaka matope Magufuli wenu jengeni nchi yenu tayari kashawapa ulaji.
 
Wakuu niwape hongera kwa kuchapa Kazi..

Mbunge wa Loliondo akijadili taarifa ya Laac na Pac Bungeni amenukuliwa akisema Afisa Masuuli wa Halmashauri ya Loliondo alikwapua pesa za Umma zaidi ya mil.341 zilizotolewa na Tanesco kwa ajili ya Fidia kwa wananchi na kutokomea nazo kusikojulikana..

Alipoharibu kufuatiliwa alidai pesa hizo zinaenda kutumika na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa mwaka 2020..

Kwa mujibu wa mbunge fusadi huyo papa alichukua kiasi Cha sh.mil.90 na kumhonga DC wa Loliondo Ili apotezee suala hilo..

Kwa mujibu wa CAG alipofuatiliw pesa hizo huko Time ya Uchaguzi walidai kwamba pesa hizo wao hawazitambui na Wala haziko kwenye hesabu zao..

Kiukweli inasikotisha na kutia hasira Sana kwamba wakati wengine wakiumia kwa kuvuja jasho jingi na pesa zao kuchukuliwa na Serikali Kwa njia ya Kodi na tozo mbalimbali ila kuna Watzn wenzetu wanaojiita viongozi wamekuwa wakitumia dhamana zao kuiba pesa za Umma na Mamlaka haziwachukulii hatua zozote kwa sababu wote ni Wanufaika..

Cha ajabu watu hao waliofanya huu ufisadi licha ya kuripotiwa bado wako ofisini hadi leo hii na hakuna hatua zilizochikuliwa..

Watzn ifike mahala tuache ukondoo wa kijinga,utii ukizidi unakuwa upumbavu..

Source ;The Chanzo blog 👇
Tunachotaka kifanyike ni wote waliohusika na wizi au unadhirifu wowote ule iwe ni kwenye awamu iliyopita au zilizopita au awamu hii wafikishwe kwenye vyombo vya sheria ili sheria ichukue mkondo wake. !! Itakuwa hatufanyi vizuri kama kazi yetu itakuwa ni kulinganisha kwamba awamu fulani watu waliiba sana na awamu ipi watu hawakuiba sana !! Hii inakuwa haitusaidii chochote kama Taifa !! Watu washighulikiwe kwa mujibu wa sheria zilizopo !! After all awamu zote hizo ni za kutoka chama kimoja !!
 
Ya
Wakuu niwape hongera kwa kuchapa Kazi..

Mbunge wa Loliondo akijadili taarifa ya Laac na Pac Bungeni amenukuliwa akisema Afisa Masuuli wa Halmashauri ya Loliondo alikwapua pesa za Umma zaidi ya mil.341 zilizotolewa na Tanesco kwa ajili ya Fidia kwa wananchi na kutokomea nazo kusikojulikana..

Alipoharibu kufuatiliwa alidai pesa hizo zinaenda kutumika na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi wa mwaka 2020..

Kwa mujibu wa mbunge fusadi huyo papa alichukua kiasi Cha sh.mil.90 na kumhonga DC wa Loliondo Ili apotezee suala hilo..

Kwa mujibu wa CAG alipofuatiliw pesa hizo huko Time ya Uchaguzi walidai kwamba pesa hizo wao hawazitambui na Wala haziko kwenye hesabu zao..

Kiukweli inasikotisha na kutia hasira Sana kwamba wakati wengine wakiumia kwa kuvuja jasho jingi na pesa zao kuchukuliwa na Serikali Kwa njia ya Kodi na tozo mbalimbali ila kuna Watzn wenzetu wanaojiita viongozi wamekuwa wakitumia dhamana zao kuiba pesa za Umma na Mamlaka haziwachukulii hatua zozote kwa sababu wote ni Wanufaika..

Cha ajabu watu hao waliofanya huu ufisadi licha ya kuripotiwa bado wako ofisini hadi leo hii na hakuna hatua zilizochikuliwa..

Watzn ifike mahala tuache ukondoo wa kijinga,utii ukizidi unakuwa upumbavu..

Source ;The Chanzo blog 👇
Ani hizi taarifa zinaleta uhalisia kwa nini CCM imeshafeli kuongoza nchi
 
Tunachotaka kifanyike ni wote waliohusika na wizi au unadhirifu wowote ule iwe ni kwenye awamu iliyopita au zilizopita au awamu hii wafikishwe kwenye vyombo vya sheria ili sheria ichukue mkondo wake. !! Itakuwa hatufanyi vizuri kama kazi yetu itakuwa ni kulinganisha kwamba awamu fulani watu waliiba sana na awamu ipi watu hawakuiba sana !! Hii inakuwa haitusaidii chochote kama Taifa !! Watu washighulikiwe kwa mujibu wa sheria zilizopo !! After all awamu zote hizo ni za kutoka chama kimoja !!
Sheria haitachukua mkondo wake Kwa sababu wizi huu ni WA kimfumo yaani unaratibiwa na Serikali yenyewe,hata hao wabunge huwa wanapiga makelele kwa sababu tuu hawakuoata mgao,hao ndio Watzn sasa..

Labda like chama Kipya ila nao utasikia wanakwambia hatufukui makaburi yaani ni upuuzi.
 
Acheni kumpaka matope Magufuli wenu jengeni nchi yenu tayari kashawapa ulaji.
Bahati mbaya sana angekuwa hai hakuna mtu Wala mbunge angethubu kuhoji huu ufisadi wake Kwa sababu wanajua alikuwa nusu shetani 👇
 

Attachments

  • 20221104_121555.jpg
    20221104_121555.jpg
    154.3 KB · Views: 3
Sheria haitachukua mkondo wake Kwa sababu wizi huu ni WA kimfumo yaani unaratibiwa na Serikali yenyewe,hata hao wabunge huwa wanapiga makelele kwa sababu tuu hawakuoata mgao,hao ndio Watzn sasa..

Labda like chama Kipya ila nao utasikia wanakwambia hatufukui makaburi yaani ni upuuzi.
Kwahiyo tuseme shamba la bwana Heri na mbuzi wa bwana Heri. !! Duh hii mpaka lini ??!!
 
Back
Top Bottom