ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
- Thread starter
- #21
kama hili lina ukweli kazi ipo.Nimekuwa nikitumia CRDB TANAPA card kwa muda sasa,mara nyingi network imekuwa tatizo.
Kweli nchi hii inaliwa na wenye meno na si wenye maneno.
red n bolded: nimecheka kweli hii maneno imebeba maana na ujumbe mzito mkuu!