Ufisadi wa fedha za elimu bure wagundulika

Ufisadi wa fedha za elimu bure wagundulika

Wasira anajivua nguo kuna muda inakubidi ukubali kuwa hapa nimepigwa KO
 
Wassira should just face reality.Ameshindwa, thats it.
Angefocus kwenye mambo mengine.Zaidi ya kupoteza muda na hizi kesi.
 
Ccm hakuna kustaafu,wazee wanawaza kupiga tuu mpaka wanaingia kaburini
 
Hivi huyu Wassira hana shughuli nyengine ya kufanya katika umri wake?
 
Kutoka kwenye kugombea urais hadi kukimbizana na ubunge ulioshindwa.
 
Wasira angetulia tu, Magu bado anazo nafasi kibao za uteuzi katika serikali take, kama amemteua tu Mrema atashindwa kumpa cheo Wasira?
 
Uroho wa madaraka, hata kama wamekula tangu enzi lakini bado matumbo yao yanawaka njaa
 
Leo asubuhi ITV nimemsikiliza afisa anayefuatilia madeni ya wanafunzi ambao hawajalipa, anasema sasa wanapekua makaratasi toka ya siku za mwanzoni na kuorodhesha wadhamini ili baadae wawatangazie, ndipo nilipogundua kuwa record system ni sifuri na ndio maana wanaibiwa kijinga, binaadamu gani mpaka leo bado wanaweka kumbukumbu kwenye matakataka a.k.a..makaratasi? Faili likiibiwa inakuwaje? Kweli Inabidi ICT toka Rwanda waje kutusaidia, fikiria inachukua muda gani kutafuta faili masjala ukilinganisha na kutafuta kwenye database?
 
Waandishi wa habari bwana, mbona kuna mawakili wengine wanatumia dakika 5 tu kupangua hoja na shauri linafutwa..vila.za utawajua tu kusifiana ujin.ga
 
Leo asubuhi ITV nimemsikiliza afisa anayefuatilia madeni ya wanafunzi ambao hawajalipa, anasema sasa wanapekua makaratasi toka ya siku za mwanzoni na kuorodhesha wadhamini ili baadae wawatangazie, ndipo nilipogundua kuwa record system ni sifuri na ndio maana wanaibiwa kijinga, binaadamu gani mpaka leo bado wanaweka kumbukumbu kwenye matakataka a.k.a..makaratasi? Faili likiibiwa inakuwaje? Kweli Inabidi ICT toka Rwanda waje kutusaidia, fikiria inachukua muda gani kutafuta faili masjala ukilinganisha na kutafuta kwenye database?
Njia bora ya kuhifadhi nyaraka ni kwenye makarasi au hardcopy km malkia anavyotamka
 
upload_2016-8-18_10-22-54.png

Hapo Lissu na Bulaya wameshinda tena kesi au ni nini hasa.? Gwae ni jaji wa mahakama kuu, kesi ilikuwa mahakama ya rufaa. Ina maana Mahakama ya rufaa ndio imempa ushindi tena Bulaya kama ilivyokuwa awali kwa mahakama kuu au huyu mwandishi anaripoti kitu gani hasa??
 
Shule zingine hazina hata ofisi za walimu wanalazimika kushea moja akiwa class moja ofisini!! Dah hali ya walimu ni Magufuli usiwatimue kazi hao walimu please boresha kwanza maslahi yao. Km mshahara au posho km polisi.
 
Back
Top Bottom