Hapana, Albert Marwa amehamishia makazi yake Dubai, alizaa na yule binti wa JK aitwae Salma, yeye na Eiz ni marafiki wa karibu sana, amekua akitumika kufanya ishu nyingi na kuchukua tenda nyingi za TANESCO kwa mgongo wa bamkwe
Yule kigogo alotajwa na olesendeka kwamba ni mtu mzito hapa ikulu ambae alichukua dola milioni 5 cash stanbick bank baada ya BOT kuzipeleka pesa za escrow kwenye akaunt ya PAP anaitwa Mtawa. Ambae ni msaidizi wa rais hapa Ikulu.
Lakini pia yule kigogo alotajwa kuwa alituma nje ya nchi dola laki2 mara 10 sawa na dola milioni 2, kisha standard chartered bank na hivyo kustukiwa na kitengo cha udhibiti wa fedha haramu ni Albert Marwa ambae ni mkwe wa JK.
Ameoa mtoto wa JK. Na kwamba bada ya kutafutwa kuhojiwa kuhusu fedha hizo alikimbilia Nje ya nchi inasemekana kwasasa yuko Uingereza.
Lakini pia baada ya Kafulila kulipua bungeni mara ya kwanza Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO alionekana seacliff hotel na singasinga Sethi.
Walioshuhudia kikao hicho ni wahariri wawili wanaofuatilia kwa karibu sakata la Escrow mmoja akiwa anandikia jarida la Economic Intelligence.
Mtawa ni binamu yake Kikwete. Alimkimbia mkewe hospitali afrika ya kusini 2007 baada ya mkewe kugundulika ameathirika. Mkewe alifariki baadae huko huko afrika ya kusini huku mtawa akiwa amemtelekeza na kurudi dar-es-salaam. Tangia wakati huo amekuwa akitumia vibaya ukaribu wake na kikwete huku akiishi maisha ya ponda mali kifo chaja.
Mimi ni mtu wa karibu na familia ya mkewe.
I can't wait aisee, mi kwa unafiki nitakuwa nawatembelea gerezani weekly kuwasanifu kuwa wameiba weeee lakini wamekula miaka 10 tu.
Huu uzi unaeza usiwe na uhai sana
Yule kigogo alotajwa na olesendeka kwamba ni mtu mzito hapa ikulu ambae alichukua dola milioni 5 cash stanbick bank baada ya BOT kuzipeleka pesa za escrow kwenye akaunt ya PAP anaitwa Mtawa. Ambae ni msaidizi wa rais hapa Ikulu.
Lakini pia yule kigogo alotajwa kuwa alituma nje ya nchi dola laki2 mara 10 sawa na dola milioni 2, kisha standard chartered bank na hivyo kustukiwa na kitengo cha udhibiti wa fedha haramu ni Albert Marwa ambae ni mkwe wa JK.
Ameoa mtoto wa JK. Na kwamba bada ya kutafutwa kuhojiwa kuhusu fedha hizo alikimbilia Nje ya nchi inasemekana kwasasa yuko Uingereza.
Lakini pia baada ya Kafulila kulipua bungeni mara ya kwanza Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO alionekana seacliff hotel na singasinga Sethi.
Walioshuhudia kikao hicho ni wahariri wawili wanaofuatilia kwa karibu sakata la Escrow mmoja akiwa anandikia jarida la Economic Intelligence.
Kikwete na familia yake ni janga la kitaifa ila wa kujilaum ni sisi kwani mwalim alisha mkataa sisi tukampuuza baada ya kifo chake. Asieskia la mkuu....
Du kwani hawaishi wote? Nilisikia kuwa walikuwa wanaishi wote ila ndia sijawahi kusikia kama tulivyosikia na kushuhudia japo picha za Ritz na Miraji!!! Kweli kila rasilimali itasalimu amri!!!! Chaguo la Mungu sasa limetufikisha pabaya!!! Nikikumbuka ushindi wa tsunami 2005!!! Mhhhhh watanzania tumeliwa.
Ndiyo maaa Spika alijitahidi kuzima moto maana wakwapuaji wa ile hela wanajulikana. Asante sana JB kwa taarifa. Ninataka marafiki zangu pro CCM mkatize hapa mtueleze mwelekeo wa Taifa hili. cc Ritz, Rejao, FaizaFoxy, Mamndenyi, Chama, Chabruma, ZeMarcopolo, Chris Lukosi, Msalani. Wakati mwingine tusiteee tu uchama, tuangalie hali halisi na kuwa wakweli.
NIDAIWE NINI TENA?Mimi nadaiwa Tshs 479,000 ambayo ni mgao wa deni zima la taifa kwa Watanzania wote 45,000,000.