Sekenke
Senior Member
- Mar 3, 2008
- 132
- 29
Kumekucha
Tulidhani vita ya ufisadi imefikia ukingoni. Kuna hata baadhi ya viongozi walifikia kututahadharisha kwamba tuachane na hili, kwani limekwisha.
Sasa ndo kama kumekucha vile. Vita au vuguvugu la ufisadi limefikia hatua tamu. Kama ni mtego basi unafanikiwa. Chambo kinafanya kazi.
We'nyewe wanaanza kujitokeza, waziwazi, mmoja mmoja, in the open range, in the firing zone. No more spinning, its mano-o-mano!
Wote tunajua Rostam hayuko peeke yake. Je wadhani Mengi yuko peke yake? Nani wako nyuma ya hawa watu? Wadhani mwisho wake ni nini? Je kweli tutashinda vita hii?
Purukushani
Ilipotoka orodha ya mafisadi, Dr Slaa aliwapa changamoto aliowataja wakutane mahakamani. Hakuna aliyethubutu hadi leo, akiwamo RA.
Mengi kaja, tumemsikia. Na mabaya yake mengi tushayasikia, na tumeyasikia tena leo kupitia RA. Lakini, swali la msingi, Rostam alikuwa wapi siku zote na hivyo vielelezo/makabrasha yenye ushahidi juu ya ufisadi wa Mengi?
Je, kweli polisi na upelelezi wetu ni wachovu kiasi hicho hawakuweza kuwa na ushahidi alionao RA, siku zote hizi? Huyu RA, ni polisi yeye, je ni kachero yeye? Kavipata wapi hivyo?
Hivi waziri Ghasia atajitokeza na kumtuhumu wizi wa nyaraka za serikali. Maana baadhhi ya yaliyotajwa yanaihusu serikali.
Na je, Sophia Simba, atajitokeza kumshambulia RA, kama alivyofanya kwa Mengi? Na Mkuchika je?
Nyoka Pangoni.. and getting closer
Kitu ambacho kwa mtazamo wangu kimefanikiwa ni kuwatoa nyoka pangoni. Moto unawaka nje ya pango, hawana budi kujichomoa.
Are we getting closer to the finish line? Au huku ni kuchafua tu hali ya hewa? Ili kutuondoa kwenye mada?
Sasa Mengi naye hakusubiri. Kajibu na kumtaka RA aende mahakamani, hata kama ni kesho asubuhi.
What's still left in their bag of tricks? What's Next?
Tulidhani vita ya ufisadi imefikia ukingoni. Kuna hata baadhi ya viongozi walifikia kututahadharisha kwamba tuachane na hili, kwani limekwisha.
Sasa ndo kama kumekucha vile. Vita au vuguvugu la ufisadi limefikia hatua tamu. Kama ni mtego basi unafanikiwa. Chambo kinafanya kazi.
We'nyewe wanaanza kujitokeza, waziwazi, mmoja mmoja, in the open range, in the firing zone. No more spinning, its mano-o-mano!
Wote tunajua Rostam hayuko peeke yake. Je wadhani Mengi yuko peke yake? Nani wako nyuma ya hawa watu? Wadhani mwisho wake ni nini? Je kweli tutashinda vita hii?
Purukushani
Ilipotoka orodha ya mafisadi, Dr Slaa aliwapa changamoto aliowataja wakutane mahakamani. Hakuna aliyethubutu hadi leo, akiwamo RA.
Mengi kaja, tumemsikia. Na mabaya yake mengi tushayasikia, na tumeyasikia tena leo kupitia RA. Lakini, swali la msingi, Rostam alikuwa wapi siku zote na hivyo vielelezo/makabrasha yenye ushahidi juu ya ufisadi wa Mengi?
Je, kweli polisi na upelelezi wetu ni wachovu kiasi hicho hawakuweza kuwa na ushahidi alionao RA, siku zote hizi? Huyu RA, ni polisi yeye, je ni kachero yeye? Kavipata wapi hivyo?
Hivi waziri Ghasia atajitokeza na kumtuhumu wizi wa nyaraka za serikali. Maana baadhhi ya yaliyotajwa yanaihusu serikali.
Na je, Sophia Simba, atajitokeza kumshambulia RA, kama alivyofanya kwa Mengi? Na Mkuchika je?
Nyoka Pangoni.. and getting closer
Kitu ambacho kwa mtazamo wangu kimefanikiwa ni kuwatoa nyoka pangoni. Moto unawaka nje ya pango, hawana budi kujichomoa.
Are we getting closer to the finish line? Au huku ni kuchafua tu hali ya hewa? Ili kutuondoa kwenye mada?
Sasa Mengi naye hakusubiri. Kajibu na kumtaka RA aende mahakamani, hata kama ni kesho asubuhi.
What's still left in their bag of tricks? What's Next?