Ufisadi unaofanywa na NSSF daraja la Nyerere

Kiboko.

JF-Expert Member
Jul 31, 2013
2,891
1,211
Salam wakuu wa jukwaaa...

Ningependa kutoa taarifa zitakazopelekea kutumbuliwa kwa watumishi wasio waaminifu wa NSSF waliopo darajani pale kwa kujiingizia kipato kinyume na misingi yao ya kazi,kinachofanyika ukipita pale na gari unamuomba upite kwa 1000 au 500 na ukimwambia astoe risiti anafanya hivyo, pesa inaingia mfukoni kwake.

Nimeshuhudia leo nilopokuwa nikielekea kibada, rafiki yangu mkazi wa Kigamboni akaniambia huwa analipa buku kwenda kurudi anatoa jero kila siku kuwa hawa watu nao pia wanatafuta riziki kwakuwa Anko Magu katubania sisi serikalini basi bora tukose wote.

Mamlaka husika tegeni mitego mhesabu gari zinazopita pale kwa siku muangalie na mapato yatakayokabidhiwa. Hata daladala baada ya kutoa tsh 7000 kwa kila safari wao hutoa 5000 hapo pia ni pato la mdau mmoja wa NSSF.

Wahusika fatilieni hili au angalieni kamera zenu mpige hesabu ACHENI UZEMBE pesa zetu zinaliwa na wachache.

Nimemaliza

Mimi mwananchi mwenye roho mbaya.

Kiboko.
 
Sizani kama Uzi wako una ukweli .....haiwesekan kwasababu; pale kuna camera, kila gari inayopita inamulikwa, pili mfanyakaz hawezi kukuamini wewe from no where tu umpe jero, unless upewe msaada tu kibinadam tu, bila shukrani unakuja kuweka uongo huku; pale unapokata tiketi ndo unaruhusu geti kufunguka; yaaan huu Uzi hauna mashiko ufutwe tu maana hauna ushahid, haiwezekan pkpk ilipe 600 halaf unambie gar utaomba Kwa jero, hv hiyo rushwa ya jero mtu ataomba ya nini?
 
Sizani kama Uzi wako una ukweli .....haiwesekan kwasababu; pale kuna camera, kila gari inayopita inamulikwa, pili mfanyakaz hawezi kukuamini wewe from no where tu umpe jero, unless upewe msaada tu kibinadam tu, bila shukrani unakuja kuweka uongo huku; pale unapokata tiketi ndo unaruhusu geti kufunguka; yaaan huu Uzi hauna mashiko ufutwe tu maana hauna ushahid, haiwezekan pkpk ilipe 600 halaf unambie gar utaomba Kwa jero, hv hiyo rushwa ya jero mtu ataomba ya nini?
Hujui hata unachokisema ww, hupajui kigambon na hujawah pita kigambon.... mm ndo nmeleetaa uzi hapa najua wahusika watalifanyia kaz na watakuja kutupa mrejesho...hizo camera nan anazimonitor? Hujui unachokisema kaa kimya
 
Mtu yoyote ajaribu pita pale darajan..akiona kijana yupo ndan amwambie hv " ebwana leo nna buku tu hapa shika hiii" uone kama hatoishika na kukufungulia rock....pale hawana mfumo kama wa airport kuwa ukichanja kadi ndo inafunguka noo pale n operator ndo anaemufungulia manually paspo hata toa risiti...
 
Mods kama kawaida yenu mtaifuta tena naa hii post..


Salam wakuu wa jukwaaa...

Ningependa kutoa taarifa ztakazopelekea kutumbuliwa kwa watumish wasio waaminifu wa NSSF waliopo darajan pale kwa kujiingizia kipato kinyume na mising yao ya kazi,kinachofanyika ukipita pale na gari unamuomba upite kwa 1000 au 500 na ukimwambia astoe risit anafanya hvo..pesa inaingia mfukon kwake..Nmeshuhudia leo nlopokuwa nkielekea kibada rafk yangu mkaz wa Kigambon akanambia huwa analipa buku kwenda kurud anatoa jero kila siku kuwa hawa watu nao pia wanatafta rizk..kWakuwa Anko magu katubania sisi serkalin basi bora tukose wote..Mamlaka husika tegeni mitego mhesabu gar znazopita pale kwa siku muangalie na mapato yatakayokabidhiwa.. hata daladala baada ya kutoa tsh 7000 kwa kila safar wao hutoa 5000 hapo pia n pato la mdau mmoja wa NSSF... wahusika fatilieni hili au angalien kamera zenu mpige hesabu ACHENI UZEMBE pesa zetu zinaliwa na wachache.

Nmemaliza



Mm mwanachi mwenye roho mbaya.

Kiboko.
Kwa mtindo huu sijui kama hela itarudi
 
Mtu yoyote ajaribu pita pale darajan..akiona kijana yupo ndan amwambie hv " ebwana leo nna buku tu hapa shika hiii" uone kama hatoishika na kukufungulia rock....pale hawana mfumo kama wa airport kuwa ukichanja kadi ndo inafunguka noo pale n operator ndo anaemufungulia manually paspo hata toa risiti...
hata airport unaweza kuchukua kadi kwenye geti la kuingilia na ukatoka bila kulipa....yaaani wakati wa kutoka yule muhusika kwenye exit unampa mia tano unamwambia kadi nimepoteza bila kijali umekaa muda gani, michezo hii wanaicheza sana maderva wa mahotelini wanaoingia kupokea wageni mara kwa mara Tanzania nchi yangu
 
Sizani kama Uzi wako una ukweli .....haiwesekan kwasababu; pale kuna camera, kila gari inayopita inamulikwa, pili mfanyakaz hawezi kukuamini wewe from no where tu umpe jero, unless upewe msaada tu kibinadam tu, bila shukrani unakuja kuweka uongo huku; pale unapokata tiketi ndo unaruhusu geti kufunguka; yaaan huu Uzi hauna mashiko ufutwe tu maana hauna ushahid, haiwezekan pkpk ilipe 600 halaf unambie gar utaomba Kwa jero, hv hiyo rushwa ya jero mtu ataomba ya nini?
Naunga mkono hoja yako
 
Back
Top Bottom