Ufisadi ndani ya Mlimani City Project


Its obvious you know more than you are revealing je kuna ubaya gani kama client aliamua kubadili mawazo? consultant si anafuata tuu au ?
 
Hivi hawa na NORCONSULT kitu kimoja? if so then mmoja wao alikuwa na kashfa ya rushwa na serikali imepewa ripoti na jamaa wa WORLD BANK lakini madudu yaliomo humo ndani hiyo ripoti haiwezi kuwekwa public...kisa? wakubwa wametajwa

Sio kitu kimoja. ni kampuni mbili tofauti, NORCONSULT ni washauri wa ujenzi na NOREMCO ni wajenzi (contractors) ila zote ni kampuni za Norway.
 
Hold on! Hivi hebu ni waulize, hata kama huyo jamaa asingepewa miaka 50 au hilo eneo nani tanzania angeweza jenga hilo eneo the way it is with this UFISADI? Nani angeweza kuja na project ya namna hiyo. The lesser evil. Mi sion shida.
 
Hivi hawa na NORCONSULT kitu kimoja? if so then mmoja wao alikuwa na kashfa ya rushwa na serikali imepewa ripoti na jamaa wa WORLD BANK lakini madudu yaliomo humo ndani hiyo ripoti haiwezi kuwekwa public...kisa? wakubwa wametajwa

I am not sure ni mradi gani, lakini nina hakika kuwa NOREMCO hawali rushwa wala kujihusisha nayo, hii imeiweka kwenye wakati mgumu sana hasa kupata miradi ya barabara! walishinda tender ya BOT lakini walitakiwa watoe kitu kidogo wakagoma! badala yake wakapewa hao group five. Noremco dereva akikamatwa na trafiki akatoa rushwa hana kazi!
 

1. Je mwekezaji ametumia sh. ngapi kuwekeza??
2. Je baada ya miaka 50 atakuwa amerudisha hela yake?
3. Je design life ya majengo ni miaka mingapi? na mkataba unasemaje kuhusu hilo?
4. Je mandhari ya pale yatakuwaje baada ya miaka 50?? na how economy of city will be stimulated?
5. je unafikiri mataba wa miaka mingapi huko sahihi?
6. Je unatishika na namba ya miaka au ufisadi?? mwekezaji angesema atawapa baada ya miaka 3 ungefurahi hata kama kuna ufisadi ndani yake?
 
Ni bahati mbaya sana tumewaruhusu watu kuleta mada ingali hawajafanya utafiti wowote ule! Ninaona hata shida kuchangia maana utaanzia wapi! Mradi wa Mlimani City ni mchakato wa siku nyingi ulianzia 1994, na kuna land use plan ilifanywa na Ardhi University wakati ule na baadae wakatengeneza Strategic Plan. Matokeo ya jitihada hizi ilikuwa NSSF alitamani na yeye kuwekeza lakini masharti yakawa magumu. NSSF alitakiwa atoe premium ya Tshs 1.5bn wakati ule kwa ajili ya ardhi ya kujenga hostel. Alivyoona ni ghali, aka-offa kutumia kiwanja alichokuwa tyari katika mkakati wa kununua kutoka Breweries na hiyo ikawa ni mwanzo wa Mabibo Hostel.

Hawa wa Botswana wametoa premium na wanalipa jamani, miradi hii ilikuwa chini ya the then Income Generation Unit, isingewezekana ikawa kiholela hivyo. Masharti yapo, kama mnaopita pale mtaona sasa wanajenga vitu vinavyofanana na mahitaji ya Chuo Kikuu, siwezi nikakumbuka chapu chapu kichwani lakini kuna Conferences, maofisi na maabara na amusement park ambayo itasaidia pia kwa wale wanaojihusisha na maisha ya wanyama (zoology).

Samahani kama nimeandika kwa hasira wakuu, maana kweli bila utafiti huruhusiwi kusema.
 
Ole Naiko na nani? Mshana sijui ni nani. Mnawaonea tu. Muulizeni Dr Chungu ambaye alikuwa Director of Planning wa UDSM wakati wakinegotiate mradi huu na huyo mhindi wa Botswana.

The little I know, pamoja na kulipwa kodi kwa sasa UDSM ina shares za 25 per cent. Baada ya muda shareholding itakuwa inaongezeka. Sasa sijui kama hiyo ni bad deal. Kwa sababu hiyo 25 per cent ni contribution yake kwa njia ya ardhi yake. Halafu wanalipwa percent fulani ya kodi pamoja na certain percentage kwa kile kinacholipwa na wapangaji wengine. Sasa Mungu akupe nini.

Hivi nyie waswahili mnataka 100 peecent bila hata kuingiza kitu? Hvi mkoje nyie? Mimi I think Dr Chunga na wenzie didi a good job. Kudos to them
 



Thibitisha hizo taarifa zako!!!!
 
huu mradi ni wa waarabu au waBotswana?

kwanza tulimalize hilo maana mmezidi kwa speculations
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…