dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Daima Watanganyika (ndugu zetu wa damu) wanatufanyia visa furaha yao ZANZIBAR ikwame Wazanzibar wadhalilike ishahidi wa hayo kuna list kubwa ya ubaya wao huo
Watanganyika washatufanyia mengi na hivi juzi kwa vile wanajua. Pamoja na kujitangaza sana bado ZANZIBAR inafanya vyema sana katika sekta ya UTALII kuna watalii wanaoushuka moja kwa moja ZANZIBAR hilo linawauma sanaaaa
Na hivi sasa washapata sababu ya kutaka kuihujumu ZANZIBAR kupitia sekta hiyo kwa kupaza sauti zao kumtaka waziri wao anaehusika na utalii KIKWANGARA sijui kinani eti aingile kati suala la yule mwanamitindo au mwanamichezo au msanii Kutoka South Afrika aliefanyiwa vitendo vya ubaguzi ktk hoteli huko ZANZIBAR
Twaambia hivi ISSUE Za ZANZIBAR zitamalizwa na Wazanzibar wenyewe hivyo vigwangwara washuhulikie issue za Faru John. HOTELS zote Zanzibar zina mikataba na kinachofanyika kinajulikana na ZANZIBAR ina Waziri wake wa utalii
#BRING OUR NATION BACK
#Free ZANZIBAR
Watanganyika washatufanyia mengi na hivi juzi kwa vile wanajua. Pamoja na kujitangaza sana bado ZANZIBAR inafanya vyema sana katika sekta ya UTALII kuna watalii wanaoushuka moja kwa moja ZANZIBAR hilo linawauma sanaaaa
Na hivi sasa washapata sababu ya kutaka kuihujumu ZANZIBAR kupitia sekta hiyo kwa kupaza sauti zao kumtaka waziri wao anaehusika na utalii KIKWANGARA sijui kinani eti aingile kati suala la yule mwanamitindo au mwanamichezo au msanii Kutoka South Afrika aliefanyiwa vitendo vya ubaguzi ktk hoteli huko ZANZIBAR
Twaambia hivi ISSUE Za ZANZIBAR zitamalizwa na Wazanzibar wenyewe hivyo vigwangwara washuhulikie issue za Faru John. HOTELS zote Zanzibar zina mikataba na kinachofanyika kinajulikana na ZANZIBAR ina Waziri wake wa utalii
#BRING OUR NATION BACK
#Free ZANZIBAR