Ufisadi mwingine hifadhi ya Ngorongoro .

Ufisadi mwingine hifadhi ya Ngorongoro .

Breki sina

Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
96
Reaction score
32
Kamati ya bunge ya mali asili na mazingira chini ya mwenyekiti wake mbunge wa shinyanga mjini Mh. Lembeli imebaini kuwa serikali imechukua zaidi ya 600m ambazo hazikuizinishwa na bunge na hazionekani zilivyotumika akizungumza anadai hata oparetion ya serikali iliyofanya walitumia zaidi ya 1b akidai pesa zimetumika kwa ufisadi, hali hii inatisha nini kinaisumbua serikali hii inayojiita sikivu kuhusu rushwa ni kweli kuwa vyombo vinavyohusika vimeshindwa kudhibiti hayo jamani serikali hii inalipeleka wapi Taifa,leo nikitazama kituo cha Itv huko Babati madakitari bigwa wamegoma kisa hawajalipwa malimbikizo yao ya muda kama vile call allowance huku watu wengine wakijichotea pesa kama vile ni shamba la bibi tunaipeleka wapi nchi hii jamani.
 
ccm na serikali yake imechoka jamani ni bomu ambalo linaweza kutulipukia vichwani muda wowote,ni hatari sana hii.
 
Mwigulu ukimwambia aliongelee hilo atakwambia ni CHADEMA waliosababisha upotevu huo...na ushahidi anao!
 
2015 wakishindwa wataenda shambani kulima

Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mwigulu ukimwambia aliongelee hilo atakwambia ni CHADEMA waliosababisha upotevu huo...na ushahidi anao!
Pia mwigulu atasema atatoa ushaahidi anao hadi mbinguni :target:
 
Utasikia utetezi wao.ila hukumu yao inakuja MUNGU hafichwi kitu.kwanza hana kamati
 
Kitu kimoja tutambue tunapokosa maadili ya uwajibikaji, elimu, afya na siasa vikafanyika chanzo cha watu kumwaga damu yao juu ya ardhi. Hii ni laana juu ya nchi. Mungu atawajibisha kila muhusika ni makosa makubwa kudhani kwamba tigo na voda wana server zao kutunza kumbukumbu eti mungu hana server!!!taarifa zote zipo kwa wakati wake ukifika. Kila nikifikiria naona kilio kikubwa ole wako tanzania! Unamjua mungu?sikia anavhosema mwenyewe zaburi 94.
 
Back
Top Bottom