Aristides Pastory
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 348
- 60
Wajumbe na wanabodi salaamu kwenu.
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke mkoa wa Dar Es Salaam kuanzia Tarehe 13/3/2013 mpaka 18/3/2013 itaendesha zoezi la UPULIZIAJI dawa kuzuia WADUDU na MAGONJWA mlipuko kata Mbali mbali wilayani humu.
Zoezi hilo litasimamiwa na kampuni teule iitwayo KIHO COMPANY.
Gharama zilizopendekezwa ni kama ifuatavyo:
1. Kila Nyumba itatozwa= tshs 2000/=
2. Vibanda vya Mama lishe= tshs 4000/=
3. Gesti na Baa= tshs 8000/=
Habari nilizonazo ni kuwa kila baada ya miezi miwili lazima operesheni hiyo itekelezwe.
Je, kwa hali hii tutafika?
Nawasilisha.
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke mkoa wa Dar Es Salaam kuanzia Tarehe 13/3/2013 mpaka 18/3/2013 itaendesha zoezi la UPULIZIAJI dawa kuzuia WADUDU na MAGONJWA mlipuko kata Mbali mbali wilayani humu.
Zoezi hilo litasimamiwa na kampuni teule iitwayo KIHO COMPANY.
Gharama zilizopendekezwa ni kama ifuatavyo:
1. Kila Nyumba itatozwa= tshs 2000/=
2. Vibanda vya Mama lishe= tshs 4000/=
3. Gesti na Baa= tshs 8000/=
Habari nilizonazo ni kuwa kila baada ya miezi miwili lazima operesheni hiyo itekelezwe.
Je, kwa hali hii tutafika?
Nawasilisha.