mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
habari za huyu jamaa nimezisikia kwa mbali leo kupitia vyombo vya habari...naomba mwenye data zaidi anidadavulie yepi yamesibu hadi kufikia hatua hiyo ya kuzuiwa kugombea nafasi yoyote kwa kipendi cha takribani miezi 18...na kwa nini 18 na sio 24 labda
nawakilisha..
nawakilisha..