taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,046
huyo nae analeta fujo.Kumbe kuna Mungu wawili
huyo nae analeta fujo.Kumbe kuna Mungu wawili
hasa wakristu mavi wa huku afirika.Huyu mzee yuko vizuri sana., naamini sana amewashika pabaya sana Wakiristo, wakiristo mambo mengi hujiongelea tu kwa huyo yesu lakini ukienda kwenye maandiko yao wanapwaya sana ni maneno wanalishana mdomoni tu.
Ni vizuri kauli hizi zinakuja kutoka kwa kiongozi wa Nchi fulani ili dunia itambue udhaifu wa dini ya kikiristu. Hilo kanisa katika kitabu chao kurasa zote hamna mahali pameandikwa yesu aliingia Church. Lakini pia hakuna katika kitabu chao yesu anasema yeye ni Mungu na watu wamuabudu.
Ukiristo ni dini imeanzishwa kimila na wanaozaliwa wanafuata tu kama umebahatika kuzaliwa na familia ya kikiristu. Lakini ukijibizana na wakiristu juu ya udhaifu huu wanatoa matusi sana badala ya kuleta ushahidi wa dini yao.
si ndio na mungu atamuua hapo hapo.Mimi najiuliza tu, akiletewa hiyo selfie atakubali kujiuzulu au ni maneno tu?
Mkuu unamanisha ninii hapa?hata ng'ombe hawamwabudu ila wanafanya yote haya.
Ukishatafakari unapata jibu ni Mungu ndio amefanya hayo yote?
Uvivu wa kufikiri na akili ndogo ndio inaweza kuwaza hvyo.
namaanisha kuacha kukosa akili mengine yote huwatokea wanyama na wadudu,kama kuzaliwa kufa kuzaana ni mwisho wote wana ukomo wa kuishi,hivyo baadhi ya vigezo havitoshi kuthibitisha uwepo wa mungu.nijuacho mimi ni kwamba uwepo wa nguvu iliyo kuu waweza kuwepo lakini si hii inayotajwa kwenye quraan na biblia.pengine dini zetu za jadi zilikuwa na utukufu zaidi ya hizi BORA TUIAMSHE MIZIMU.Mkuu unamanisha ninii hapa?
Sasa hata akipelekewa atajuaje kuwa hasa ndiyo mwenye? mfano mie niweke picha hapa na kusema kwenye hiyo picha ni mimi,we utaweza kujua kuwa kweli ni mimi na si mtu mwengine?Kuna mtu kampelekea Duterte selfie au bado?
Hakuna na hatokuja kutokea.Kuna mtu kampelekea Duterte selfie au bado?
Kamuulize Duterte.Sasa hata akipelekewa atajuaje kuwa hasa ndiyo mwenye? mfano mie niweke picha hapa na kusema kwenye hiyo picha ni mimi,we utaweza kujua kuwa kweli ni mimi na si mtu mwengine?
Utajuaje nimeshindwa?Kamuulize Duterte.
Anakwambia thibitisha,ukishindwa anakupiga risasi.
Kama ukishindwa kutoa "incontrovertible evidence" umeshindwa.Utajuaje nimeshindwa?
Tunazungumzia picha kwamba ametaka mtu ajipige selfie na Mungu.Kama ukishindwa kutoa "incontrovertible evidence" umeshindwa.
Unatakiwa kutoa ushahidi usioweza kupingikakwamba huyu ni Mungu.
Acha uongo. Qur'an ni plagiarism ya Bible kama ambavyo Bible yenyewe ni plagiarism ya dini za kale kama ZoroastrianismDini ya kiislamu ndio dini pekee sahihi: Quran Allah anasema ''Enyi watu nimekujaalieni dini ya kiislamu kuwa ndio dini yenu..''.
Hili ni andiko lipo katika kitabu kitukfu ambacho mpaka leo hakuna aliyetoa mfano wala kuingiza mkono wake, na mpaka hivi sasa katika kitabu cha wakiristo hakuna mahalai popote yesu amewapa wakiristo dini.
Yuko wapiWapumbavu huamini mioyoni mwao kwamba hakuna Mungu.
Hivi Allah ndiyo Jehovah?Kama huamini dini na akili yako iko sawa sawa na macho unaona jinsi ardhi ilivyotandikwa na mbingu zimesimama bila tegemezi yeyote, usiku na mchana, jua hutoka mashariki kwenda magharibi, mwezi kungaa, bahari na vilivyomo, mvua hunyesha, nyota zilizo juu hungaa wakati wa usiku nk.
Inataka moyo sana kwa mwanadamu wa kawaida na ujinga wa hali ya juu kabisa kwa mwadamu huyo huyo bila kukaa kitako angalau saa 1 kwa siku na kutafakari uwezekano wa yote hayo yamekujaje kujaje.