miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Ndo maana nkasema niko tayari (kwa kila unachomiss kwa njia kuu yako ntaprovide, tena kwa international standards)
Okey that good nitakwambia siku nachepuka
Ndo maana nkasema niko tayari (kwa kila unachomiss kwa njia kuu yako ntaprovide, tena kwa international standards)
Wakiwekewa alam serenget boiz watapata wapi ela ya bia?
Alama ya namna gani.. Tatoo, achanjwe au aandikwe mmiliki kwenye paji la uso kwa chapa ya moto.