Ndugu wana mmu ila limekuwa likinikera sana kuona wanawake ambao wapo kwenye ndoa ndio wanakuwa wanaongoza katika kuanzisha michepuko ni bora wakiwekewa alama itasaidia japo sio kupunguza michepuko
#habari_mnayoo #
#habari_mnayoo #
hapo mkuu umenena kitu maana watu wanaangalia upande mmoja wakati kila mtu ana mchango katika kufanya hiyo michepukoNina wasiwasi kama hii judgement yako kama iko fair why wanawake tu na sio na wanaume? Na nini tafsiri ya mchepuko? Mbona mnatukinga ambao hatupo kwenye ndoa? Mke wa mtu akichepuka nje ya ndoa nina imani huyo kijana anayetoka naye na yeye ana mpenzi wake then kwanini mke wa mtu ndo awe mwenye makosa ni kigezo kipi basi tunatumia kuhalalisha usaliti wa huyu kijana kwa mpenzi wake kwamba yeye hana makosa bali yule mke wa mtu anayetoka naye? Well Binadamu si bidhaa wala si mnyama na huwezi kumzuia mtu kufanya kitu akiwa na nia yakutekeleza jambo lake. Nafikiri hujui alama aliyonayo binadamu ile ni kiboko si mwanamke si mwanaume wote tunayo na unaijua wewe tu. We nenda kinyume na Amri 10 za MUNGU afu utaona nafsi yako inavyokusuta hiyo ni Alama tosha haihitaji nyingine na inafanya kazi 100%
Ndugu wana mmu ila limekuwa likinikera sana kuona wanawake ambao wapo kwenye ndoa ndio wanakuwa wanaongoza katika kuanzisha michepuko ni bora wakiwekewa alama itasaidia japo sio kupunguza michepuko
#habari_mnayoo #
acha ubinafsi na mfumo dume hapa...... wanaume mnachepuka mwaka mzima sijapata dudu nikae tu kisa nimeolewa babuee mihemko ya mwili hatuitengenezi inakuja automatic so ni lazima itulizwe okey
Ndugu wana mmu ila limekuwa likinikera sana kuona wanawake ambao wapo kwenye ndoa ndio wanakuwa wanaongoza katika kuanzisha michepuko ni bora wakiwekewa alama itasaidia japo sio kupunguza michepuko
#habari_mnayoo #
Umenena vema bi dada...ukitaka kuchepuka,chepukia kwangu niko tayari kwa ajili yako
hapo mkuu umenena kitu maana watu wanaangalia upande mmoja wakati kila mtu ana mchango katika kufanya hiyo michepuko
Hiyo ni dalili ya kutokujiamini mkuu...ka vipi muwekee wa kwako ili tukimuona tusimtongoze, walau tukupunguzie presha kidogo
acha ubinafsi na mfumo dume hapa...... wanaume mnachepuka mwaka mzima sijapata dudu nikae tu kisa nimeolewa babuee mihemko ya mwili hatuitengenezi inakuja automatic so ni lazima itulizwe okey
Sawa uwe na pesa tu
utakufa wewe mwanamke