haha mimi inabidi nicheke nilipata four ya point 28, miaka hiyo lkn baada ya muda na handle pergomance evaluation za wale waliomaliza four na one point 7 na six ya point 3. Wote nawakarisha nakuambia hapa umezingiwa, lakini perfomance evaluation ni mbali sana chuo nako walisubiri wengi wenye one ya point 3. Kuwaita division ni wajinga nadhani mtoa mada ajitafakari sana.
hawana lolote hawa, mimi nilipata 4 ya 28 nikaunga unga chuoni nikakutana na wenye 1 ya point 3 lakini hawakuwa na maajabu, kazini leo nawafanyia perfomance evaluation. mtoa mada arudi kufanya uchunguzi wake na atuambie endapo alisoma na watu wa diploma je aliwazidi wote?