Ufaransa nao wadai EU referendum

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,528
Imeripotiwa na radio DW mchana huu.Je ni nini impact ya msambaratiko huu wa eu kwa Tanzania
 
Urusi na China zinapata nguvu sasa. Lakini isiwe maigizo kwaajiri ya kuingiza mkenge viumoja vyetu vya hapa Afrika.
 
Nataka kujua mwisho wa usalama wa pesa ya euro wataiondoa kwenye mzunguko ikiwa umoja huo utakata roho?
 
Urusi na China zinapata nguvu sasa. Lakini isiwe maigizo kwaajiri ya kuingiza mkenge viumoja vyetu vya hapa Afrika.
EU ni soko la Mchina pia (ingawa anaingiza bidhaa kwa mbinde sana), kwa hiyo kusambaratika kwa EU kuna athari kwa Mchina pia, hasa kiuchumi
 
Ufaransa, UK, Germany, the Netherlands, na Switzerland ndio nchi zenye uchumi mkubwa ndani ya EU, hii inaleta hali ya mashaka mbeleni.
Switzerland hawapo kwenye EU, wapo kwenye Schengen.Hizi nchi tajiri wananchi wake wanachukia EU kwa sababu ya migrants kutoka Europe mashariki, wananchi wamechech oka,kwa hizo nchi tajiri ikipitishwa referendum wote watavote kutoka, ulaya mashariki peke yao ndo watavote kubaki ,
 
Watatoka tu.economic imbalances between member States ni tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…