Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,018
- 2,599
Habari poleni na majukumu ya Kazi na mihangaiko ya usiku mchana.mimi Ni kijana ambaye na ndoto ya kufanya biashara ya nafaka.hususani ya kulangua mpunga vijijini na kuuza mjini. Ila sina uzoefu wowote,pia ufahamu kuhusu mtaji,na changamoto,na faida yake hivyo naomba mwenye ujuzi aweze kunisaidia natanguliza shukrani.