Nafasi zinazotangazwa na utumishi ni kwamba wanaoajiriwa na utumishi wanalipwa mishahara na Serikali moja kwa moja (Hazina). Wanaoajiriwa na MUHAS au agency yeyote ya serikali kama Ewura, Tacaids, TRA, Sumatra nk wanalipwa na hizo agencies moja kwa moja na si Hazina.
Kwa kifupi mtangazaji wa kazi ndie mgharamikiaji wa mshahara wako na stahiki zako zote. Mwingine anaweza kuongezea