Ufafanuzi logo ya klabu ya Yanga

Ufafanuzi logo ya klabu ya Yanga

Beso

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
216
Reaction score
59
yanga.jpg
Kwenye logo hii ya klabu ya yanga kuna alama ya mwenge,tulifahamishwa maana ya mwenge wa uhuru uliowashwa na kuwekwa kwenye kilele cha mlima kilimanjaro tarehe 9/12/1961 ulikuwa na malengo ya
1.kuangaza nchi pamoja na mipaka yake
2.kuleta matumaini pale yalipokosekana
3.kuleta upendo pale penye uhasama
4.kuleta heshima pale penye kudharauliwa.
aidha ujumbe wake umekuwa ukibadilika mwaka hadi mwaka!!!!JE HUU MWENGE KWENYE LOGO YA WANAJANGWANI UNA MAANA GANI? NAOMBA KUELIMISHWA!
 
View attachment 148339
Kwenye logo hii ya klabu ya yanga kuna alama ya mwenge,tulifahamishwa maana ya mwenge wa uhuru uliowashwa na kuwekwa kwenye kilele cha mlima kilimanjaro tarehe 9/12/1961 ulikuwa na malengo ya
1.kuangaza nchi pamoja na mipaka yake
2.kuleta matumaini pale yalipokosekana
3.kuleta upendo pale penye uhasama
4.kuleta heshima pale penye kudharauliwa.
aidha ujumbe wake umekuwa ukibadilika mwaka hadi mwaka!!!!JE HUU MWENGE KWENYE LOGO YA WANAJANGWANI UNA MAANA GANI? NAOMBA KUELIMISHWA!
Beso nikiwa Katibu Mkuu wa Yanga kipindi cha 2003-2005 nilibuni na kusimamia zoezi la kutengeza hii logo ya Yanga baada ya kuona ile ya zamani imepitwa na wakati. Mwenge kwa wanayanga una umuhimu wa kipekee maana ukifuatilia historia ya Yanga ni vigumu kuitenga na harakati za kutafuta uhuru wa nchi hii, na harakati hizi kwa Zanzibar Yanga walikuwa na ukaribu na African Association.Mwenge uliwashwa mahsusi kwa ajili ya kutoa nuru na matumaini kwa watanzania mara baada ya uhuru,Yanga ilikuwa ni sehemu kubwa ya ushiriki wa kupata uhuru huu ndo maana Yanga hawataki kupoteza hii connection ya kihistoria.
 
Last edited by a moderator:
Beso nikiwa Katibu Mkuu wa Yanga kipindi cha 2003-2005 nilibuni na kusimamia zoezi la kutengeza hii logo ya Yanga baada ya kuona ile ya zamani imepitwa na wakati. Mwenge kwa wanayanga una umuhimu wa kipekee maana ukifuatilia historia ya Yanga ni vigumu kuitenga na harakati za kutafuta uhuru wa nchi hii, na harakati hizi kwa Zanzibar Yanga walikuwa na ukaribu na African Association.Mwenge uliwashwa mahsusi kwa ajili ya kutoa nuru na matumaini kwa watanzania mara baada ya uhuru,Yanga ilikuwa ni sehemu kubwa ya ushiriki wa kupata uhuru huu ndo maana Yanga hawataki kupoteza hii connection ya kihistoria.

asante kwa ufafanuzi!!!
 
Last edited by a moderator:
Beso nikiwa Katibu Mkuu wa Yanga kipindi cha 2003-2005 nilibuni na kusimamia zoezi la kutengeza hii logo ya Yanga baada ya kuona ile ya zamani imepitwa na wakati. Mwenge kwa wanayanga una umuhimu wa kipekee maana ukifuatilia historia ya Yanga ni vigumu kuitenga na harakati za kutafuta uhuru wa nchi hii, na harakati hizi kwa Zanzibar Yanga walikuwa na ukaribu na African Association.Mwenge uliwashwa mahsusi kwa ajili ya kutoa nuru na matumaini kwa watanzania mara baada ya uhuru,Yanga ilikuwa ni sehemu kubwa ya ushiriki wa kupata uhuru huu ndo maana Yanga hawataki kupoteza hii connection ya kihistoria.

Ni nini hiki? Walikuwa wanajishughulisha na nini wakati wa harakati za uhuru? Fafanua mh. rais!
 
Hivi kuna mtanzania anayejua historia ya nchi hii, halafu bado asishabikie Yanga?
 
Kwani Simba huwasikiagi wakiwa wanashangiria? Ccm, ccm ccm ccm ccm ccm ccm ccm, siunajua kabla ya ccm kulikuwa na tanu? Ndio walewale, Yanga ni timu ya Chama
 
Beso nikiwa Katibu Mkuu wa Yanga kipindi cha 2003-2005 nilibuni na kusimamia zoezi la kutengeza hii logo ya Yanga baada ya kuona ile ya zamani imepitwa na wakati. Mwenge kwa wanayanga una umuhimu wa kipekee maana ukifuatilia historia ya Yanga ni vigumu kuitenga na harakati za kutafuta uhuru wa nchi hii, na harakati hizi kwa Zanzibar Yanga walikuwa na ukaribu na African Association.Mwenge uliwashwa mahsusi kwa ajili ya kutoa nuru na matumaini kwa watanzania mara baada ya uhuru,Yanga ilikuwa ni sehemu kubwa ya ushiriki wa kupata uhuru huu ndo maana Yanga hawataki kupoteza hii connection ya kihistoria.

mzee wa mademu mbona MMU huonekani tena au baada ya wadau kushitukia jina lako la porini....
 
Kwani Simba huwasikiagi wakiwa wanashangiria? Ccm, ccm ccm ccm ccm ccm ccm ccm, siunajua kabla ya ccm kulikuwa na tanu? Ndio walewale, Yanga ni timu ya Chama

Mleta mada kauliza mwenge na sio chama
 
Beso nikiwa Katibu Mkuu wa Yanga kipindi cha 2003-2005 nilibuni na kusimamia zoezi la kutengeza hii logo ya Yanga baada ya kuona ile ya zamani imepitwa na wakati. Mwenge kwa wanayanga una umuhimu wa kipekee maana ukifuatilia historia ya Yanga ni vigumu kuitenga na harakati za kutafuta uhuru wa nchi hii, na harakati hizi kwa Zanzibar Yanga walikuwa na ukaribu na African Association.Mwenge uliwashwa mahsusi kwa ajili ya kutoa nuru na matumaini kwa watanzania mara baada ya uhuru,Yanga ilikuwa ni sehemu kubwa ya ushiriki wa kupata uhuru huu ndo maana Yanga hawataki kupoteza hii connection ya kihistoria.

naaaam, jibu sahihi
 
Eti hizi ni kazi za mwenge...
1.kuangaza nchi pamoja na mipaka yake
2.kuleta matumaini pale yalipokosekana
3.kuleta upendo pale penye uhasama
4.kuleta heshima pale penye kudharauliwa.
 
Kumbe nilikuwa sijua Asanteni kwa historia hii kumbe ndo maana inaitwa timu ya wananchi
 
Beso nikiwa Katibu Mkuu wa Yanga kipindi cha 2003-2005 nilibuni na kusimamia zoezi la kutengeza hii logo ya Yanga baada ya kuona ile ya zamani imepitwa na wakati. Mwenge kwa wanayanga una umuhimu wa kipekee maana ukifuatilia historia ya Yanga ni vigumu kuitenga na harakati za kutafuta uhuru wa nchi hii, na harakati hizi kwa Zanzibar Yanga walikuwa na ukaribu na African Association.Mwenge uliwashwa mahsusi kwa ajili ya kutoa nuru na matumaini kwa watanzania mara baada ya uhuru,Yanga ilikuwa ni sehemu kubwa ya ushiriki wa kupata uhuru huu ndo maana Yanga hawataki kupoteza hii connection ya kihistoria.

Mh President vipi umerudisha kadi ya uanachama? samahani lakini kama nimekukwaza
 
Mh President vipi umerudisha kadi ya uanachama? samahani lakini kama nimekukwaza

Malinzi, wala usijibu upuuzi huu. Anze kuwauliza akina Kaburu kama wamerudisha kadi zao za Simba ili wafanye kazi TFF. Nani asiyejua kuwa viongozi wa TFF wana timu zao hasa Yanga na Simba. Issue ni kufanya kazi kwa manufaa ya nchi/TFF na wala isiwe kwa maslahi ya timu fulani.

Mawaziri wote au karibu wote wana kadi za CCM na kazi za serikali zinaendelea.
 
View attachment 148339
kwenye logo hii ya klabu ya yanga kuna alama ya mwenge,tulifahamishwa maana ya mwenge wa uhuru uliowashwa na kuwekwa kwenye kilele cha mlima kilimanjaro tarehe 9/12/1961 ulikuwa na malengo ya
1.kuangaza nchi pamoja na mipaka yake
2.kuleta matumaini pale yalipokosekana
3.kuleta upendo pale penye uhasama
4.kuleta heshima pale penye kudharauliwa.
Aidha ujumbe wake umekuwa ukibadilika mwaka hadi mwaka!!!!je huu mwenge kwenye logo ya wanajangwani una maana gani? Naomba kuelimishwa!

utakuwa na mahusianao makubwa na huo wa uhuru kwa kuzingatia asili ya uanzishwaji wa timu ya yanga
 
Back
Top Bottom