Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Wanasheria naomba mnielimishe kuhusu suala la dhamana kupitia maswali yangu yafuatayo;
1. Mahakama inapoamuru kuwa moja ya sharti la dhamana ni kutoa hela, mfano sh. 20 mil.
-Hii hela inapelekwa hard cash/cheque mahakamani na kuwa deposited kwenye account ya mahakama mpaka kesi itakapoamuliwa?
-Au inatolewa tu guarantee kuwa in case mshtakiwa hajatokea basi hiyo sh. Mil 20 itatolewa na muweka dhamana?
-Je mshtakiwa akitoroka au asipotokea mahakamani, anakamatwa aliyemuwekea dhamana ya mil 20 au pesa ndiyo itakayochukuliwa na kuwa forfeited?
-Je kama pesa itakuwa forfeited, ina maana hata kama dhamana ingekuwa ni hati ya nyumba, je nyumba ingeuzwa?
Naombeni wanasheria mnisaidie kujibu maswalu yangu hapo juu.
1. Mahakama inapoamuru kuwa moja ya sharti la dhamana ni kutoa hela, mfano sh. 20 mil.
-Hii hela inapelekwa hard cash/cheque mahakamani na kuwa deposited kwenye account ya mahakama mpaka kesi itakapoamuliwa?
-Au inatolewa tu guarantee kuwa in case mshtakiwa hajatokea basi hiyo sh. Mil 20 itatolewa na muweka dhamana?
-Je mshtakiwa akitoroka au asipotokea mahakamani, anakamatwa aliyemuwekea dhamana ya mil 20 au pesa ndiyo itakayochukuliwa na kuwa forfeited?
-Je kama pesa itakuwa forfeited, ina maana hata kama dhamana ingekuwa ni hati ya nyumba, je nyumba ingeuzwa?
Naombeni wanasheria mnisaidie kujibu maswalu yangu hapo juu.