hapana, sio sisi. sisi tunahusika tu na maswala ya masomo.Kuna story nilisikia eti Mwananyamala ukitaka tiketi ya ndege kwenda sehemu yoyote duniani hata kwa elfu 50 unapata.
Sio nyie ndio dealers?
number za simu 0711 684900, +86 137 61325614Hyo namba ya cm vp cjaielewa vzr
number za simu 0711 684900, +86 137 61325614Hyo ya 07111???
Hebu tulia andika kwa utulivu ueleweke, wanasomesha na kuwadai kivipi ikibidi piga picha huo mkataba uweke hapa tuone jinsi mkataba unavyosemamtu aki gharamika sana haizidi laki moja... na form yenu sija ielewa kabisa... mkataba una onesha mna wasomesha na kuwadai.... hapa kuna janja janja.... china kama nchi wana toa scholarship na hawa kudai hata sh. wala dolla au yen...
mkuu nimetulia... J3 kuna mambo mengi huwa tuna fanya hivyo tuna kuwa juu juuHebu tulia andika kwa utulivu ueleweke, wanasomesha na kuwadai kivipi ikibidi piga picha huo mkataba uweke hapa tuone jinsi mkataba unavyosema
Nimekupata mkuumkuu nimetulia... J3 kuna mambo mengi huwa tuna fanya hivyo tuna kuwa juu juu