Ufadhili katika mradi wa kilimo kutoka

Ufadhili katika mradi wa kilimo kutoka

Granter

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2016
Posts
483
Reaction score
364
Photo from vegrab.co.tz
Mh: Mama Getrude Mongella, Rais wa kwanza wa umoja wa bunge la Africa, na balozi wa india in 1990s,Mwenyekiti UWT Mkoa wa Dar es salaam, Taswe.or.tz, vegrab.co.tz na wadau wengine muhimu tulipitisha mradi wa kuwawezesha wawekezaji katika mradi wa pilipili kichaa kwa 50%. unachotakiwa ni kuchangia 4.2M/Acre kisha utaweza kupata huduma zifuatazo:

1.SHAMBA KWA MUDA WA MIAKA MITATU
2.KUFYEKA SHAMBA
3.KUNG'OA VISIKI
4.KULIMA SHAMBA KWA TRACTOR
5.KUPIGIWA HARROW
6.KUPEWA MICHE
7.KUPEWA SAMADI
8.KUPEWA MBOLEA ZA ORGANIC
9.KUTENGENEZEWA MATUTA
10.KUSAMBAZA SAMADI
11.KUNUNULIWA VIFAA VYA DRIP LINES
12.KUFANYIWA INSTALLATION SHAMBANI
13.KUFUNGIWA SOLAR WATER PUMPS
14.KUFUNGIWA DRIERS ZA INDIA ZENYE KUTUMIA UMEME NA JUA KWA MASHINE MOJA
15.KUPEWA MTAALAMU WA KUSIMAMIA
16.KUCHIMBIWA KISIMA.


KWA KUFANYA HIVI UTAWEZA KUFIKA MAKADIRIO YA JUU YA UZALISHAJI AMBAYO NI WASTANI WA KILO 2000 MPAKA 3000 KWA MWAKA MMOJA.

hapo ni katika kilimo cha mkataba na VEGRAB kupitia UWEKEZAJI wako huo, unaweza kupata kuanzia 10M kwa mwaka mmoja na utavuna mpaka Miaka mitatu.

Kumbuka mara mbili ya gharama unayowekeza zinatolewa na taswe.or.tz pamoja na vegrab.co.tz.

Wahi mapema
Fika Ofisini kwetu
Mabibo mwisho B&N house of Apartment plot no.42 Kigogo street, Dar es salaam Tanzania.
Info@vegrab.co.tz
vegrab.co.tz
+255769058814

SHAMBA LINAKUA CHINI YA USIMAMIZI KWENYE PLOT MOJA.

Kigezo uweze kuchangia 50% ya gharama za kilimo cha kisasa. Wasiliana na VEGRAB au TASWE kwa Habari zaidi: +255769058814
2021_09_12_10_03_47_040.jpg
 
Rafiki yangu kapigwa hivi mwaka jana, aliuza mpaka gari [emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]
Kumbe ndiyo hivyo 😲🥺😏
 
Kwa pilipili kichaa upate M 10 !!! Ningeacha kulima ALIZETI, UFUTA na MTAMA kwa kweli.
 
Huu utapeli sio mpya hapa JamiiForums.
Tumewaona kijani kibichi ya Rashid Ngemange, Mr Kuku, Deci etc wahanga ni watu wa chini ambao huenda wakauza Mali zao za thamani ili wapate milioni 4 ambayo mnaenda kumtapeli.

Pia kutumia jina la Mama Mongela kwenye miradi ya kitapeli huko ni kumchafua
Ina maana yeye Mama Mongela hajaona hili tangazo Hana hata rafiki aliyepo jf akamuhabarisha!!??
 
Kwakua mna uhakika wa soko na zao Hilo,na kwakuwa mnafahamu wakulima wengi Ni watu wa Hali ya chini,hawana uwezo wa kulipa m4 Mara Moja,kwanini msiingie nao mkataba wa kisheria muwakopeshe huduma na pembejeo na wakalipa kwa mkupuo 1tu baada ya kuvuna hizo pilipili kichaa????
Nia yao sio hiyo ya kumsaidia mkulima, nia yao ni hiyo milioni 4 ya wakulima waipate kiulaini.
 
Hawa jamaa hawa WAMEMTAPELI JAMAA YANGU SINGIDA HUKO Sasa hivi kawa mlalahoi

Shida Yao hyo M4 hizo nyingne n mbwembwe tuu

Kutumia jina la MAMA MONGELA huko n kumchafua na ndio michezo yao kupiga picha na viongoz wakubwa ili kuvuta attention kwa watu



,,,,,SI KWA UBAYA LAKINI KUNA WATU WATAJIUNGA MKIPIGWA MSIJE HUMU KULIA LIA. INDIA WENYEWE WANALIMA PILIPILI LAKIN HAWANA SOKO LA KUTOSHA ,,,,,,

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya saga la Mr kuku naona watu wamekuja na new style ya njoo Tulime/tukulimie ..chupa mpya lakini mvinyo Ile Ile ..naona wengine vanilla, wengine pilipi pili etc..Angalizo tu la mapema mchukue tahadhali..msije hapa kuanza kulia lia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
H
Hawa jamaa hawa WAMEMTAPELI JAMAA YANGU SINGIDA HUKO Sasa hivi kawa mlalahoi

Shida Yao hyo M4 hizo nyingne n mbwembwe tuu

Kutumia jina la MAMA MONGELA huko n kumchafua na ndio michezo yao kupiga picha na viongoz wakubwa ili kuvuta attention kwa watu



,,,,,SI KWA UBAYA LAKINI KUNA WATU WATAJIUNGA MKIPIGWA MSIJE HUMU KULIA LIA. INDIA WENYEWE WANALIMA PILIPILI LAKIN HAWANA SOKO LA KUTOSHA ,,,,,,

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hivi Kama zao Hilo Lina faida kuuubwaaa namna hiyo hivi kweli huyo Bimkubwa wanao Sema ndo mhusika mkuu kwa nature ya watu waliokuwa na nafasi,asishirikishe watu wa kaliba yake aje kwa walalahoi waamka wachovu huku Ni ngumu sana.Watawapata lakini WASTAAFU WANAO KURUPUKA! Mkuu
 
Nia yao sio hiyo ya kumsaidia mkulima, nia yao ni hiyo milioni 4 ya wakulima waipate kiulaini.
Bujubuji Umenitoa Tongo za macho nilikuwa nishaingia mzima mzima nataka kuprint hiyo adress zao lkn dah sasa kama unapata 10M kwa nini wasimsaidie huyo mkulima from zero halfu mwisho wa mwaka wakachukua chao kilichobakia wakampa mkulima.
 
Back
Top Bottom