UENYEKITI WA MBOWE UNAWATESA CCM JE NI UJINGA WA MAKADA WA CCM KUTESEKA?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,487
2,351
Inashangaza na kustaabisha kuona MAKADA wa CCM wakiteseka sana na UENYEKITI wa KAMANDA MBOWE.Najiribu kujiuliza ni UJINGA wa Hao MAKADA kuacha kuhangaika na CHAMA chao na kuhangaika na UENYEKITI wa MBOWE?Sikumtarajia mtu kama Kigwangalah kushindwa kusema UKWELI juu ya KILICHOMFUKUZISHA Bwana ZITTO Chadema.Kamanda MBOWE endelea kushikiria UENYEKITI wako hata MILELE hawa Wajinga jinga Wanaohoji wazidi kuonyesha UJINGA wao.WEWE ni JIWE la PEMBENI lililowashinda WAASHI.
 
Mbowe hahongeki
Inashangaza na kustaabisha kuona MAKADA wa CCM wakiteseka sana na UENYEKITI wa KAMANDA MBOWE.Najiribu kujiuliza ni UJINGA wa Hao MAKADA kuacha kuhangaika na CHAMA chao na kuhangaika na UENYEKITI wa MBOWE?Sikumtarajia mtu kama Kigwangalah kushindwa kusema UKWELI juu ya KILICHOMFUKUZISHA Bwana ZITTO Chadema.Kamanda MBOWE endelea kushikiria UENYEKITI wako hata MILELE hawa Wajinga jinga Wanaohoji wazidi kuonyesha UJINGA wao.WEWE ni JIWE la PEMBENI lililowashinda WAASHI.
 
Inashangaza na kustaabisha kuona MAKADA wa CCM wakiteseka sana na UENYEKITI wa KAMANDA MBOWE.Najiribu kujiuliza ni UJINGA wa Hao MAKADA kuacha kuhangaika na CHAMA chao na kuhangaika na UENYEKITI wa MBOWE?Sikumtarajia mtu kama Kigwangalah kushindwa kusema UKWELI juu ya KILICHOMFUKUZISHA Bwana ZITTO Chadema.Kamanda MBOWE endelea kushikiria UENYEKITI wako hata MILELE hawa Wajinga jinga Wanaohoji wazidi kuonyesha UJINGA wao.WEWE ni JIWE la PEMBENI lililowashinda WAASHI.
Hao makada wa CCM wanaoteseka na uenyekiti wa Mbowe ni wapumbavu kabisa kwanini wahangaike na mambo ya chama kisichokuwa chao?
 
Sema CDM ni watu wa kushangaza sana. Hawataki kumuamini Lissu kwenye kigoda, ila wanataka sisi tumuamini kwenye SOFA.
 
Inashangaza na kustaabisha kuona MAKADA wa CCM wakiteseka sana na UENYEKITI wa KAMANDA MBOWE.Najiribu kujiuliza ni UJINGA wa Hao MAKADA kuacha kuhangaika na CHAMA chao na kuhangaika na UENYEKITI wa MBOWE?Sikumtarajia mtu kama Kigwangalah kushindwa kusema UKWELI juu ya KILICHOMFUKUZISHA Bwana ZITTO Chadema.Kamanda MBOWE endelea kushikiria UENYEKITI wako hata MILELE hawa Wajinga jinga Wanaohoji wazidi kuonyesha UJINGA wao.WEWE ni JIWE la PEMBENI lililowashinda WAASHI.
JamiiForums1267461471_387x387.jpeg
 
Inashangaza na kustaabisha kuona MAKADA wa CCM wakiteseka sana na UENYEKITI wa KAMANDA MBOWE.Najiribu kujiuliza ni UJINGA wa Hao MAKADA kuacha kuhangaika na CHAMA chao na kuhangaika na UENYEKITI wa MBOWE?Sikumtarajia mtu kama Kigwangalah kushindwa kusema UKWELI juu ya KILICHOMFUKUZISHA Bwana ZITTO Chadema.Kamanda MBOWE endelea kushikiria UENYEKITI wako hata MILELE hawa Wajinga jinga Wanaohoji wazidi kuonyesha UJINGA wao.WEWE ni JIWE la PEMBENI lililowashinda WAASHI.
Ni ujinga wa watu wa CCM
 
Cha kufurahisha ni kuwa CDM wanepata coverage kubwa mno kutoka CCM bila kulipa hata senti moja. Hata yule ambaye hakutaka kusikia habari za Chadema nina uhakika kuwa zimemfikia live bila chenga🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom